Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Samahani mkuu naomba matokeo ya singida Vs mtibwa!
Mechi ya Singida vs Mtibwa zimeogezwa dk 7 goli la 2 la ushindi la singida limefungwa dakika 90+9 kwa mkwaju wa Penalty na mpira umeisha dakika 102 hahahahahahahahah ingekuwa SIMBA sasa.
 
Unajua kiingereza?? Maana ameongea kiingereza, tupe uhakika Kwanza ndiio tukuwekee, hatutaki shida za kuja kuombwa na tafsiri yake!
Naelewa mkuu ndo maana nimeiomba, labda mashabiki puya ndo hawajui
 
Hahahahahahahahahhaa tulia dawa ikuingie
Waamuzi wa kiume walio wengi kwakweli uwezo wao wa kuchezesha mpira hasa wakati huu tunapoelekea mwisho wa msimu unakatisha kabisa tamaa! Leo kwenye hii mechi, mwamuzi kwa makusudi kabisa ametoa faulo mbili zenye utata na zilizoipa simba ushindi wa bure!

Mnawakatisha tamaa wachezaji na timu kwa ujumla! Haiwezekani Okwi amfuate beki mwenyewe halafu anajiangusha na mwamuzi anatoa faulo yenye utata! Kwa haya maamuzi yenu yenye utata, nina imani mtaishia kuchezesha mechi za simba tu!
 
Back
Top Bottom