Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Lakini tusingefunga ingekuwa halali ee?
Bora hata faulo ya kwanza aliyochezewa Said Dilunga ilikuwa 50/50! ila faulo ya okwi iliyozaa goli la pili, mwamuzi ametudanganya wanamichezo na pia wadau wa soka! Okwi alimfuata mwenyewe yule beki! Hakuna faulo ya aina duniani kote! Goli ni halali, ila ile faulo hapana!
 
Yani unaeleta hii mifano unaonekana mpira ufuatilii vizr, EPL ndo ligi inayo angaliwa na watu wengi lakini kombe la dunia hakuna refa hata mmoja aliyechaguliwa kwenda kuchezesha.
Inaangaliwa wapi. .labda Bongo na Africa umewahi kufika Ulaya? ?
 
Ni nchi 18 tu kati ya 54 zilizotoa marefarii, kwa hiyo sio kigezo. Go referees go!
The best referees staged AFCON 2019..waliobakia vilaza. .hata AFCON under 17..marefa wangapi wa Bongo walichezesha. ...
 
Mwamuzi hatumii king'amuzi anatumia macho tofauti na wewe umekaa kitini tu unatazama kwenye TV. Watu kama Okwi ni wahuni wanaojua kudanganya sana wakiwa wamebanwa. Ndio maana unatakiwa akili kumkaba. Kwa hiyo refa kupotoka wala sishangai,ukizingatia alipewa mgongo na Okwi
Professional rubbish
 
Hizo Sheria zina apply kwa timu moja tuu ligi nzima?
Nyani haoni kundule
seekertz1_-20190501-0001.jpeg
 
Kaombe we uchezeshe hyo michuano
AFCON 2019 Full list of referees:
Mostafa Gharbal (Algeria), Helder Martinez (Angola), Joshua Bondo (Botswana), Pacifique Ndabihawenimana (Botswana), Aliom Aliom (Cameroon), Gehad Geresha, Mahmoud El-Banna, Amine Omar (Egypt), Bacary Gassama (Gambia), Daniel Laria (Ghana), Peter Waweru (Kenya), Mamadou Keita (Mali), Radwan Jaid, Nour ElDin El-Jaafari (Morocco), Jackson Bafaza (Namibia), Jean Jack Ngambo (DR Congo), Louis Hazikimana (Botswana), Megete N’Diaye (Senegal), Bernard Camille (Seychelles), Al-Fadel Mohamed Hussein (Sudan), Victor Miguel (South Africa), Sadek Al-Salmy, Youssef El-Sarairi, Haitham Kairat (Tunisia), Gianni Sikazowi (Zambia).
UPUUZI KWA WATU WAPUUZI
 
Mpoki Mwakinyuke kagusa mpira. ..ndio maana mnapigwa 5,5,4 mkitoka hapa. .kocha wa Mbeya city
Umeangalia mpira ama umeangaliziwa? ule ni mkasi kibaya zaidi hamna deflection yeyote ya mpira.

Tunapigwa tano lakini tumefika robo fainali na tumewapeleka na nyie airport.
 
Kwa hiyo timu ya Simba haiwezi kuzifunga timu nyingine zaidi ya yanga na Azamu ?
 
Huwa najiuliza Mtani hivi nyie ndio wale mliosema TPL sio saizi yenu. Teh teh.
Au ndio yalikuwa maneno tu ya Managha. 😀😀😀 sababu kiukweli goli mnazitafuta kwa tochi.
Ndio sisi mtani mambo yanabadilika
Halafu swala la kupata magoli kwa tochi ni utaratibu wa hizi timu ndogo ndo zinapelekea Mnyama apate shida, yani wakijua wanacheza na timu bora na kubwa Afrika mashariki na kati basi wanatoa macho maana wanajua wakizubaa watapigwa 4,5,6,au 7 sasa ndio maana wanakaza, lakini wakikutana wenyewe kwa wenyewe wanacheza kawaida tu
Mfano Yanga vs prisons, Yanga vs Biashara, Kagera vs Yanga nakadhalika 😁😁
 
Ndio sisi mtani mambo yanabadilika
Halafu swala la kupata magoli kwa tochi ni utaratibu wa hizi timu ndogo ndo zinapelekea Mnyama apate shida, yani wakijua wanacheza na timu bora na kubwa Afrika mashariki na kati basi wanatoa macho maana wanajua wakizubaa watapigwa 4,5,6,au 7 sasa ndio maana wanakaza, lakini wakikutana wenyewe kwa wenyewe wanacheza kawaida tu
Mfano Yanga vs prisons, Yanga vs Biashara, Kagera vs Yanga nakadhalika 😁😁
Oooh. Sawa Mtani.

Mjipange kesho na wajela wajela.
 
Back
Top Bottom