Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Kama kawaida ya wachezaji wa timu ndogo walikuwa wameshaanza kujilaza kupoteza muda
 
hivi hao wanaosema simba anaongezewa mda wanatumia nn kufikiri?hizo dakika km zinaongezwa special kwa simba kwann timu pinzani zisiongeze goli ama zenyewe hazitaki kushinda?au zikiongezwa dkk 5 tuseme izo za simba kwaiyo ziongezwe 5 tena za timu pinzan?hahahaaa
 
Back
Top Bottom