Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hakuna timu ligi kuu iliyoongezwa dakika 7 tofauti na Simba?Hujaona majibu yangu hapo juu au unajifanya kipofu?
Mkuu kawaida yao,yaani mpaka washinde ndo mpira unaisha,la sivyo no!Wasipopata penalty wataongezewa dk 7,9 mpaka 10
Akikujibu ni tag Tena ukizingatia kagere kashafanya yakeHakuna timu ligi kuu iliyoongezwa dakika 7 tofauti na Simba?
Amezima data.Akikujibu ni tag Tena ukizingatia kagere kashafanya yake
Hapo. zikiongezwa dk 7.wanalalamikaKama kawaida ya wachezaji wa timu ndogo walikuwa wameshaanza kujilaza kupoteza muda
Droo ya meza au kitanda?Leo Simba mnadroo
Endelea KuotaLeo Simba mnadroo
Dk 15Zimeongezwa ngapi huko?
Zimeongezwa ngapi huko?