Mbeya city vs Simba SC uwanja wa Sokoine

Mbeya walikuwa wameannza kupoteza muda
 
Kama kawaida ya wachezaji wa timu ndogo walikuwa wameshaanza kujilaza kupoteza muda
 
Refa kang'amua janja ya MC ya kupoteza muda.
 
hivi hao wanaosema simba anaongezewa mda wanatumia nn kufikiri?hizo dakika km zinaongezwa special kwa simba kwann timu pinzani zisiongeze goli ama zenyewe hazitaki kushinda?au zikiongezwa dkk 5 tuseme izo za simba kwaiyo ziongezwe 5 tena za timu pinzan?hahahaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…