enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,089
- 3,634
Bora hata faulo ya kwanza aliyochezewa Said Dilunga ilikuwa 50/50! ila faulo ya okwi iliyozaa goli la pili, mwamuzi ametudanganya wanamichezo na pia wadau wa soka! Okwi alimfuata mwenyewe yule beki! Hakuna faulo ya aina duniani kote! Goli ni halali, ila ile faulo hapana!
Inaangaliwa wapi. .labda Bongo na Africa umewahi kufika Ulaya? ?Yani unaeleta hii mifano unaonekana mpira ufuatilii vizr, EPL ndo ligi inayo angaliwa na watu wengi lakini kombe la dunia hakuna refa hata mmoja aliyechaguliwa kwenda kuchezesha.
The best referees staged AFCON 2019..waliobakia vilaza. .hata AFCON under 17..marefa wangapi wa Bongo walichezesha. ...Ni nchi 18 tu kati ya 54 zilizotoa marefarii, kwa hiyo sio kigezo. Go referees go!
Professional rubbishMwamuzi hatumii king'amuzi anatumia macho tofauti na wewe umekaa kitini tu unatazama kwenye TV. Watu kama Okwi ni wahuni wanaojua kudanganya sana wakiwa wamebanwa. Ndio maana unatakiwa akili kumkaba. Kwa hiyo refa kupotoka wala sishangai,ukizingatia alipewa mgongo na Okwi
Mpoki Mwakinyuke kagusa mpira. ..ndio maana mnapigwa 5,5,4 mkitoka hapa. .kocha wa Mbeya cityZungumzia ile penati tuliyobaniwa
Nyani haoni kunduleHizo Sheria zina apply kwa timu moja tuu ligi nzima?
AFCON 2019 Full list of referees:
Mostafa Gharbal (Algeria), Helder Martinez (Angola), Joshua Bondo (Botswana), Pacifique Ndabihawenimana (Botswana), Aliom Aliom (Cameroon), Gehad Geresha, Mahmoud El-Banna, Amine Omar (Egypt), Bacary Gassama (Gambia), Daniel Laria (Ghana), Peter Waweru (Kenya), Mamadou Keita (Mali), Radwan Jaid, Nour ElDin El-Jaafari (Morocco), Jackson Bafaza (Namibia), Jean Jack Ngambo (DR Congo), Louis Hazikimana (Botswana), Megete NβDiaye (Senegal), Bernard Camille (Seychelles), Al-Fadel Mohamed Hussein (Sudan), Victor Miguel (South Africa), Sadek Al-Salmy, Youssef El-Sarairi, Haitham Kairat (Tunisia), Gianni Sikazowi (Zambia).
UPUUZI KWA WATU WAPUUZI
Umeangalia mpira ama umeangaliziwa? ule ni mkasi kibaya zaidi hamna deflection yeyote ya mpira.Mpoki Mwakinyuke kagusa mpira. ..ndio maana mnapigwa 5,5,4 mkitoka hapa. .kocha wa Mbeya city
Mikia manunuzi FCAmka usingizini usome ubao wa matokeo yanavyosomeka...Mtateseka Sana[emoji23][emoji23]
This Is Simba SC..NguvuMoja
Nyie Vyura [emoji196][emoji196] lenu ni bakuli..Kutaka kombe ni tamaa..!Mikia manunuzi FC
Sasa wewe sio wakuendelea kukuelezeaInaangaliwa wapi. .labda Bongo na Africa umewahi kufika Ulaya? ?
Ndio sisi mtani mambo yanabadilikaHuwa najiuliza Mtani hivi nyie ndio wale mliosema TPL sio saizi yenu. Teh teh.
Au ndio yalikuwa maneno tu ya Managha. πππ sababu kiukweli goli mnazitafuta kwa tochi.
Oooh. Sawa Mtani.Ndio sisi mtani mambo yanabadilika
Halafu swala la kupata magoli kwa tochi ni utaratibu wa hizi timu ndogo ndo zinapelekea Mnyama apate shida, yani wakijua wanacheza na timu bora na kubwa Afrika mashariki na kati basi wanatoa macho maana wanajua wakizubaa watapigwa 4,5,6,au 7 sasa ndio maana wanakaza, lakini wakikutana wenyewe kwa wenyewe wanacheza kawaida tu
Mfano Yanga vs prisons, Yanga vs Biashara, Kagera vs Yanga nakadhalika ππ
Usiwe na wasiwasi Ushindi uko palepaleOooh. Sawa Mtani.
Mjipange kesho na wajela wajela.
Sawa Mtani. Kila la kheri katika kutafuta bao. πUsiwe na wasiwasi Ushindi uko palepale
Simba nguvu moja
Simba bingwa
Rubbish mwenyeweProfessional rubbish