Mbeya City Vs Simba Sports Club: Mbeya City yalala nyumbani kwa goli moja dhidi ya Simba

Goli la Kichuya ni offside au inside?
Ingekuwa mnyama ndiyo kafungwa goli hilo, conspiracy theories za Haji zimeshika moto.
Waamuzi hufanya makosa na timu zote huumia na kunufaika na makosa hayo!
Pambana na hali yako mkuu chura fc
 
Kabisa. Matopeni muwe mnafanya hivyo hivyo yakiwakuta. Kelele nyingi mno. Game ikiisha, move on
Pole mkuu. Maana umeumia mno mechi ya jana, mbona wakati akina Tshishimbi na Yondan wanaunawa mpira wadau wenu walisema refa ndo maamuzi yake. Kwanini sasa unapanic?

Big brand Simba SC.. [emoji109]
 
Pole mkuu. Maana umeumia mno mechi ya jana, mbona wakati akina Tshishimbi na Yondan wanaunawa mpira wadau wenu walisema refa ndo maamuzi yake. Kwanini sasa unapanic?

Big brand Simba SC.. [emoji109]
Yalikuwa maamuzi yake kama ilivyokuwa offside ya jana. We have to move on!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…