Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Hii labda inamhusu nyumbu wa Iringa aliyeanzisha mada..

Udumavu Wala hauna uhusiano na kukosa chakula Bali lishe duni
Kama Elimu ya lishe hamna mtapata akili ya kutumia fursa zinazowazunguka nyie, ngoja tuje huko kwenu nyie walugaluga.
 
Kama Elimu ya lishe hamna mtapata akili ya kutumia fursa zinazowazunguka nyie, ngoja tuje huko kwenu nyie walugaluga.
Ndio kwani Elimu ya Lishe inahitaji miaka kutolewa? Sasa hivi jamii zinaelewa na hivyo utapiamlo unapungua..

Watu Wana udumavu wa akili yet hawamo kwenye kundi la Mikoa Maskini nyie Kanda ya Ziwa mko kwenye kundi la maskini wewe unadhani ni Kwa nini?
 
Mbeya kama mbeya mtoa mada atakua na chuki zake binafsi 🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20230615-112309_YouTube.jpg
    745.9 KB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…