Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Watu wengi hawaishi huko, wanaishi kwenye haya mabanda.Nenda Mwanza tembelea hii Mitaa, Bwiru press,capripoint,isamilo,kabuhoro,Nyasaka,ibanda, Nyegezi majengo,Kiseke,,Mwananchi, Nyamhongoro,,Shadi,hiyo ni baadhi tu halafu tuje tuongee vizuri kuhusu Mbeya na vumbi lenu,plus nyumba za tembe katika ya kijijini chenu
Leta picha mpya tofauti na hizi za mabanda ya njiwa. Unaicheka Mbeya na wewe unaishi kwnye hivi vibanda.Bado unakomaaa na picha ya mwaka 2000,nenda kapige tena sasa hivi
Acha ushamba. central park toka lini ikawa avenue?Zile zinaitwa Avenue kiongozi[emoji23]
Mbeya town mzee hiyoo
Utapata tabu sana kijana,acha kukariri ,Leta picha mpya tofauti na hizi za mabanda ya njiwa. Unaicheka Mbeya na wewe unaishi kwnye hivi vibanda.
View attachment 2659691
Hasa jamiiforum appMsaada picha hazifunguki jamiiforum
Barabara ya kwenda Chunya anasema eti Mbeya Mjini...Hivi mbeya mjini ni sehemu gani ebu nikumbushe tena?
Utaacha lini excuses ππ€ͺπ€ͺMzee tunaongelea jiji la mbeya wewe uneleta habari za igawa.
Ila serikali inabidi iangalie upya sifa za kuwa jiji! Tanga na Mbeya inabidi zirudishwe kuwa Manispaa ni aibu sana nchi kuwa na majiji ya namna hiyo. Otherwise serikali itenge pesa nyingi kuyajenga hayo majiji mawili,sasa kweli unakuwa na jiji ambalo hata soko tu ni mtihani.Utaacha lini excuses [emoji16][emoji2957][emoji2957]
Haters ni hater tuu si ajabu umekurupuka [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna Mbeya bypass km 48.9 ndani ya Jiji
Kwani wewe umeona Kuna tatizo gani?Ila serikali inabidi iangalie upya sifa za kuwa jiji! Tanga na Mbeya inabidi zirudishwe kuwa Manispaa ni aibu sana nchi kuwa na majiji ya namna hiyo. Otherwise serikali itenge pesa nyingi kuyajenga hayo majiji mawili,sasa kweli unakuwa na jiji ambalo hata soko tu ni mtihani.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Sasa nduguyangu ni sahihi kuwa na jiji lenye stend na soko kama Arusha kweli? serikali inabidi itenge pesa iwajengee kama kule Mwanza ilivofanya.Kwani wewe umeona Kuna tatizo gani?
Kwa hiyo hivyo vitu vidogo ndio sifa za Jiji?Sasa nduguyangu ni sahihi kuwa na jiji lenye stend na soko kama Arusha kweli? serikali inabidi itenge pesa iwajengee kama kule Mwanza ilivofanya.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ni sawa kuwa na jiji halina soko wala stend?mimi nimeshauri kwa nia njema kuwa serikali itenge pesa iwajengee hiyo miundombinu muhimu kwa jamii. Mbona Mwanza,Dodoma na Dar wamewajengea masoko na stend za kisasa? kwanini wasijenge Arusha, Tanga na Mbeya? ili na hayo majiji yapendeze. Tuseme kweli tu Mbeya na Tanga hazikupaswa kuwa majiji yalikuwa bado sana.Kwa hiyo hivyo vitu vidogo ndio sifa za Jiji?
Mpaka utaondoka kwenye dunia hii utaendelea kuishi Nkasi maana huna hadhi ya kuishi Jiji kama Mwanza. Utabaki ukipata vijisenti unakuja kutoa tongotongo Rocky City nyau weweToa upumbavu hapa,mnalala kwenye mabanda ya nguruwe huko milimani harafu unaongea ushenzi wako..
Mwanza hakuna Mji ni uswazi Kila sehemu