Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Usibishane na Mimi kwa picha mbeya Haina hadhi ya kulinganishwa na either Dodoma, Mwanza au Arusha . Hata iringa is far better than Mbeya kuwa na akili basi the sunk.
Mbeya imezidiwa na Dodoma.na.Adusha Kwa kuwa huko hakuna mabanda ya nguruwe ila Mwanza ni trash full mabanda ya nguruwe tupu Haina hadhi ya kuisema Mwanza.
 
Mbeya imezidiwa na Dodoma.na.Adusha Kwa kuwa huko hakuna mabanda ya nguruwe ila Mwanza ni trash full mabanda ya nguruwe tupu Haina hadhi ya kuisema Mwanza.
We Mbeya Ina nyumba au Ina vibanda vimejaa vumbi na kutu. Dogo unajielewa lakini au hata haujavunja ungo unatusumbua tu 😀😀😀😀
 
We Mbeya Ina nyumba au Ina vibanda vimejaa vumbi na kutu. Dogo unajielewa lakini au hata haujavunja ungo unatusumbua tu 😀😀😀😀
Usinichoshe Mwanza imejaa mabanda ambayo huwezi yakuta Mbeya.
Sweet Mbeya 👇

Watu mnaishi huko mabanda ya nguruwe hata hakufikiki na Mji wote unanukia shombo ya samaki hovgo kabisa
 
Usinichoshe Mwanza imejaa mabanda ambayo huwezi yakuta Mbeya.
Sweet Mbeya 👇

Watu mnaishi huko mabanda ya nguruwe hata hakufikiki na Mji wot/ATTACH]e unanukia shombo ya samaki hovgo kabisa

Nitakuchosha kweli sinaga kazi ndogo Mimi. Jitahidi umalize mwendo
 
Mbeya nzima Jiji I mean inasomeshwa na nyegezi tu kwa upande wa Mwanza. Nasema Tena pale hakuna Jiji
 
Ni kweli kabisa ukiacha vyakula vya kumwaga Mbeya jiji haijapangika...mi bora nikaishi Tukuyu au Kyela huko...huko ndo evergreen...
Yani mwezi wa 8 nakumbuka wakati tunasoma huko lile vumbiii yani uwiii...lami ipo mjini tuu barabara zile kubwa..pazuri ni Forest...
Mbeya tunashukuru kwa kutulisha nchi nzima..na tunawapenda..ila makazi bado mnoo
 
Mbeya ni kubwa kuliko Zanzibar pia ina watu wengi kuliko Zanzibar, lakini Zanzibar ni nchi, kwa hiyo usishangae, Mbeya ina jengo la ghorofa 5 Zanzibar haina, lakini Zanzibar ni nchi, Mbeya ina uwanja mkubwawa ndege kuliko wa Zanzibar lakini Zanzibar ni nchi, uchumi wa Mbeya ni mkubwa kuliko wa Zanzibar lakini Zanzibar ni nchi labda wametuzidi kwa kuwa na akina Jussa wengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…