Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa


Mi naunga mkono sehemu moja!! Mji wa vumbi!!

Yaan mwanjelwa vumbi,kabwe vumbi, uyole vumbi, mbalizi vumbi mji wa ajabu huu
 
Uko sahihiπŸ’―%
 
Mwanza nayo πŸ™„πŸ™„!!
Acha kushangaa dogo, huyo fala kila muda huwa anapost hako kamtaa ka ovyo ka igogo, hata dar kuna mitaa ya ovyo sana kuliko hapo igogo, mwambie alete sehemu nyingine nje ya hapo, Mwanza huwezi linganisha na miji mingine kama likijiji la viazi la mbeya.
 
Mbeya ni Kijiji kikubwa kweli ni eneo la hovyo sana ,, mbeya kama una akili timammu siyo sehemu ya kusihi
 
Voice from MWANZA Steven mashishanga RC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…