Master plan ni siasa katika nchi hii, nipe mfano wa eneo moja hapa TZ mabayo watekeleza. DSM ina master plan, lakini pako hovyo, watu wanapanga watakavyo.Master plan itazipanga upya hizo slums Ili kwanza ziwe accessible na Huduma zote za jamii..
Kupanga Mbeya ni rahisi sana kuliko.kupanga slums dwellers wa Mwanza ambao 70% ya population wanaishi kwenye mabanda kule milimani..
Mwisho Master plan inalenga kuhakikisha hakuna slums Mpya zinazoibuka.
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
NHC + UBIA 11f
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
NHC +UBIA 14f
View attachment 3088738Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
Wapi kina mipango Miji? Mwanza na Yale mabanda ya nguruwe humo Kirumba nk? ππ
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
Inshort CBD ya mwanza inashambuliwa haswa kwa kujengwa gorofa kuna projects kama 34 zinaendelea hapo CBDUnamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
πππππ Onyesha picha , maneno yaacheInshort CBD ya mwanza inashambuliwa haswa kwa kujengwa gorofa kuna projects kama 34 zinaendelea hapo CBD
Ndio 34 hizo? Kila Mji hayo yapo mbona ππ
The same building different angle ππ
Sasa hapa Kuna jipya gani si cladding tuu hiyo ya majengo ya zamani?
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? ππ
Unajitoa ufahamu si ndio?Mkuu ni kitu gani kinafanya Arusha iizidi Mwanza?? Kwa Dodoma sikatai kwa sababu ndio nyumbani kwa Serikali. Kwa projects zinazoendelea Dodoma huenda ndio ukawa mji wa pili kwa uzuri na ukubwa ukiacha Dar es salaam. Lakini kuufananisha mji wa Mwanza na Arusha ni kuukosea heshma