Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Master plan itazipanga upya hizo slums Ili kwanza ziwe accessible na Huduma zote za jamii..

Kupanga Mbeya ni rahisi sana kuliko.kupanga slums dwellers wa Mwanza ambao 70% ya population wanaishi kwenye mabanda kule milimani..

Mwisho Master plan inalenga kuhakikisha hakuna slums Mpya zinazoibuka.
Master plan ni siasa katika nchi hii, nipe mfano wa eneo moja hapa TZ mabayo watekeleza. DSM ina master plan, lakini pako hovyo, watu wanapanga watakavyo.
 
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? 😁😁
IMG-20240906-WA0003.jpg
 
Kwenye huu Uzi choice variable napo anakaza misuli ya shavu kutaka kuifananisha mbeya na mwanza??. Kijana wa hovyo sana ideally ni kati ya vijana wanaoliingizia Taifa hasara. Kichaa siyo lazima aokote makopo.
 
Mkuu ni kitu gani kinafanya Arusha iizidi Mwanza?? Kwa Dodoma sikatai kwa sababu ndio nyumbani kwa Serikali. Kwa projects zinazoendelea Dodoma huenda ndio ukawa mji wa pili kwa uzuri na ukubwa ukiacha Dar es salaam. Lakini kuufananisha mji wa Mwanza na Arusha ni kuukosea heshma
Unamdanganya nani? Mwanza hii ambayo inazidiwa Kila kitu na Dodoma na Arusha? 😁😁
 
Mkuu ni kitu gani kinafanya Arusha iizidi Mwanza?? Kwa Dodoma sikatai kwa sababu ndio nyumbani kwa Serikali. Kwa projects zinazoendelea Dodoma huenda ndio ukawa mji wa pili kwa uzuri na ukubwa ukiacha Dar es salaam. Lakini kuufananisha mji wa Mwanza na Arusha ni kuukosea heshma
Unajitoa ufahamu si ndio?
-Mapato
-Magorofa mengi na marefu
-Mahoteli
-Umaarufu(Jiji linalojulikana zaidi Tanzania baada ya Dar,Makao Makuu ya taasisi za Kimataifa nk
-Miundombinu ya Barabara (Njia 4),lami nk
-Viwanda
-Uzuri na mandhari.
 
Back
Top Bottom