Unaruka Rukwa kama maharage πππ.Mwanza na mbeya umerogwa Nini wewe. Geita yenyewe huiwezi pengine nikuletee shinyanga
Render πππππ
Pambana na GEITA kwanza, Mwanza siyo saizi yakoUnaruka Rukwa kama maharage πππ.
Leta hapa private hospitals ya Mwanza maana Mbeya ziko 3 za ukweli
-Maranatha
-K's specialized hospital
-Iwambi Specialized Hospital
Leta za Mwanza kabla hujahamia kwenye hivyo Vijiji vingine vya wafugaji ππππ
Leta na weweRender πππππ
Mbeya sihitaji kuleta tender tayari Mkandarasi Yuko site anajenga stendi.Leta na wewe
Basi kula vyuma hivyo. Maana tukikuambia hutaki kuelewa. Hata geita yupo site kitambo mno. Hadi huko bukoba mkandarasi yupo site.Mbeya sihitaji kuleta tender tayari Mkandarasi Yuko site anajenga stendi.
Private Hospital za Mwanza ziko wapi?
Linganisha mwenyewe halafu uone ipi Kali kama macho hayaoni vizuri vaa miwaniPrivate Hospital za Mwanza ziko wapi?
Hii mnaita ya Kanda Haina tofauti na ya Mkoa wa Mbeya,Sasa niliweka ya Kanda itakuaje? ππView attachment 3090110
Hii Ofisi hata Mwanza nzima hakuna achilia mbali Geita.View attachment 3090108View attachment 3090109
Siku nyingine upunguze ubishi usio na tija. Haya Jiji linasomeshwa na halmashauri.
Hii huwezi ikuta Mwanza nzima achilia mbali huko Kijijini Geita.Linganisha mwenyewe halafu uone ipi Kali kama macho hayaoni vizuri vaa miwani
Leta the fisi kama hii hapo Mwanza ,Kijijini Geita hakuna kitu ππUnatanua mbawa kuitaja mwanza wakati Geita tu imekushinda. Tuliza kwanza mshono mambo ni mengi Mno.
Tunaoijua mbeya vizuri tunaungana nawewe vizuri sehemu kama Mbalizi hawakustahili kuishi watu bali ndege na wanyama wa mwituni
Unanyumba kwanza au ndio unaishi kwenye Yale mabanda ya nguruwe kule Kirumba Mwanza? ππTunaoijua mbeya vizuri tunaungana nawewe vizuri sehemu kama Mbalizi hawakustahili kuishi watu bali ndege na wanyama wa mwituni
Kumbe hii ni Hoteli ya huko Chato Kwa Mzilankende πππ
Onyesha akiwa site kitambo japo progress au signing ceremony kama hivi Asante Rais Samia kwa stendi mpya ya kisasa Mkoa wa Mbeya. Umejenga jina lako Mbeya badala ya Kizimkazi, tutasimulia Wajukuu zetuBasi kula vyuma hivyo. Maana tukikuambia hutaki kuelewa. Hata geita yupo site kitambo mno. Hadi huko bukoba mkandarasi yupo site.