Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Tungewauliza kwanza ao wamama wanaouza viazi apo kabwe wanataka ayo malami, azawaizi SOKA APO APA mwaisa alaah, unaleta mkyeso na maisya ja watu!!! Jografiko lokesheni!!!
 
Kijiji gani kwingine Cha huko kwenu kina Uchumi mkubwa kushinda Kijiji Cha Mbeya? πŸ‘‡πŸ‘‡View attachment 3090062View attachment 3090063
Izo billion zinakusanywa kila mwaka lakini hazinufaishi wananchi wake. Ikiwemo miundo mbinu ya elimu bado mibovu, barabara mjini mbeya vumbi tu, usiseme wilayani mfano rungwe na busokelo kipindi cha mvua hakupitiki nauli zinapanda mara dufu

Hizo fedha zingekuwa zinatumika ata nusu yake tu inatosha kabisa kabisa kubadili vitu vingi jiji la mbeya
 
Ulitaka zikunufaishe Kwa kugawiwa au? How hazikunufaishi?
 
Kupata vichekesho hivi tunabonyeza ngapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…