Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Ingiza na Dodoma na mikoa yote ya kusini ni kushyete. Hotel tu Bado 50 zijaziweka humu zile za class ya juu.
 
Ingiza na Dodoma na mikoa yote ya kusini ni kushyete. Hotel tu Bado 50 zijaziweka humu zile za class ya juu.
Acha kuweweseka sijakutuka uiguse Mbeya,nilishakwambia hakuna kitu Mwanza inashinda Mbeya.

Tulia upate dozi Yako umeyatimba mwenyewe πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1753870721590153600?t=2fCc2ghm2WrijImz24eRqg&s=19
View: https://x.com/mhdhamad/status/1755307272941502851?t=cUd4BZpWjFxgjz0J2mNp0g&s=19

My Take: Hicho Kimwanza Nje ya hapo Mjini ,Wilaya zingine zimejaa minada na mifugo harafu unataka ishindane na Mbeya,Igawilo Kwa kina Sativa mliowateka πŸ˜†πŸ˜†πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1752595425016574191?t=KEQVdyFIYXE46QfZDPbk1A&s=19
 
Unaleta mashamba ya mpunga
🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Mbona umerudisha taulo mapema sana? Bado sijaanza ku post Rungwe,Chunya na Busokelo Niko Mbeya City outskirts.

Mbeya πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Nimekuambia unganisha mapori yote ya huko njoo mpaka Dodoma nikushenyete
 
Unaleta vichaka na mashamba Mimi sifanyagi battle za kitoto
Nimekuambia unganisha mapori yote ya huko njoo mpaka Dodoma nikushenyete
Ila wewe ni mshamba sijawahi ona yaani tented Camp hotels unaita vichaka 🀣🀣

Ndio shida ya kwenda kulala gests unaita hotels.Nimeangalia picha zote ulizoleta ni mavyumba vya guests tuu nothing else πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ‘‡πŸ‘‡

Lupa way Mbeya

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1750760290134716830?t=7AJgIkwxzHyOpcQX9kGnog&s=19
 
Tutakuacha uendelee na porojo zako ila jua hakuna Jiji hapo.
 
Punguza ushamba ,yaani hapo kagorofa Hako kamoja umepigwa picha 6 πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Anyway jifunze hapa πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1742404406375579774?t=A8w2fG6pw0oy9GOM8SWhLg&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…