Hahaha kumbe unataka jina hiyo GhanaPembezoni ipi hiyo? Haina jina?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha kumbe unataka jina hiyo GhanaPembezoni ipi hiyo? Haina jina?
Ghana ni pembezoni? Ghana ni uswazi afadhari hata ya Uyole 😂😂Hahaha kumbe unataka jina hiyo Ghana
Isamilo Hospital ya sekou toureZaidi ya hapo CBD ,Mwanza Kuna nini kama sio Yale mabanda ya nguruwe?
Mbeya 👇👇View attachment 3102119
Hapa sio mjini ni pembeni ya mji ingekua mbeya ingekua ndo CBD
Onyesha nyumba hata Moja ya matopeMitaa mingi ya Mbeya imepangwa vibayo mno, alafu nyumba za matofali mabichi na mabati yenye kutu. Vichochoro kama vyote.
Ukiwa unaelekea Mbalizi kutoka 'mjini' ukiwa pale mlima wa iwambi unaiona mbalizi kama mnado wa ng'ombe kwa chini, uchafu mtupu.
Aisee Tukuyu na Kyela zimepangwa vizuri kuliko Mbeya mjini. Aibu tupu ile.
Onyesha nyumba hata Moja ya matope
Mall Ina umuhimu na ulazima gani kuwepo?
Kwani huu hapa ni mkono wa Serikali?Mkono wa mtu binafsi huu ilemela km nyingi toka CBD
View attachment 3102184
Mbeya 👇👇Isamilo Hospital ya sekou toureView attachment 3102150