Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Nyumba kama hizi zimejaa iwambi,magorofani,Ituha,Isyesye ,Tazara, Uzunguni ni ni vile tuu picha ziko chache sana mtandaoni.
Huo ni mtaa mmoja tu unawatoa kamasi bado hatujaingia mitaa mingine battle ya Mwanza na Mbeya ni uonevu tu mengine unajifariji tu nyie pambaneni na morogoro huko maana hata iringa amuigusi
 
Nyumba kama hizi zimejaa iwambi,magorofani,Ituha,Isyesye ,Tazara, Uzunguni ni ni vile tuu picha ziko chache sana mtandaoni.
Hizo chache za kwenye mtandao za Mwanza ndo unazoziona zingekuwa za mitaa yote mtandaoni ingekuaje? Nyie bado sana anzeni na morogoro kwanza
 
Hizo chache za kwenye mtandao za Mwanza ndo unazoziona zingekuwa za mitaa yote mtandaoni ingekuaje? Nyie bado sana anzeni na morogoro kwanza
Huo ni mtaa mmoja tu unawatoa kamasi bado hatujaingia mitaa mingine battle ya Mwanza na Mbeya ni uonevu tu mengine unajifariji tu nyie pambaneni na morogoro huko maana hata iringa amuigusi
Takataka za Mwanza haziwezi kushinda Mbeya Kwa lolote πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://x.com/Visitmbeya/status/1839246049275236456?t=YsnifIH6r7np-Lwd7QgI8Q&s=19
 
Mbeya, Tanga na Dodoma Bure kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…