Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Sasa mbona ni vijengo hivyo hivyo tu mwanza hospital nyingi sana sema hatuna ulimbukeni wa kupiga piga picha ukiachilia mbali zilizopo zinazojengwa ni balaa nenda kamanga nyegezi nenda royal Ghana zikiisha hizo ni balaa
Ni wapi niliposema Tughimbe ni hospital? Umeanza kuchanganyokiwa mapema hivi? Tulia upate dozi πŸ˜†πŸ˜†
 
Ni wapi niliposema Tughimbe ni hospital? Umeanza kuchanganyokiwa mapema hivi? Tulia upate dozi πŸ˜†πŸ˜†
Acha maneno Midland hotel
2017-06-26.jpg
 
Back
Top Bottom