Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Mbeya haina hadhi ya jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

Unayumba sana dogo ,Mbeya huiwezi🤣🤣👇👇

View: https://x.com/MfalmeWaKusini/status/1740693979610624391?t=0S0k1UwFhlivrRsfvTVToQ&s=19View attachment 3091074View attachment 3091075

My Take: Kuna mtu yeyote Maarufu amewahi kuja huko kwenye mialo yenu mnaita beach? 😆😆

GCgv8Y3XUAALOSx.jpeg

Hiii nayo ni mbeya acha uchoko basi. Anyway tafuta na za Dodoma ulete hapa
 
Mimi naenjoy tu stock images of beautiful Mbeya, ila kwenye uongo nitakwambia 😁, Sema kazi nzuri itabidi ufungue uzi mahususi kwa ajili ya kuweka hizi picha , Ila chonde chonde mkuu picha ya valverde usiiweke 😁
Tutazikuta Mbeya region au Mbeya city
Kuna Mbeya region bila kuwa na Mbeya City? Unataka kutokea dirishani? 🤣🤣🤣🤪

Na wewe si ulete hoteli za Misungwi na Ukerewe? 😆😆😆😆

Anyway Uzi upo ni huu hapa Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom