Mbeya: Hakimu wa Mahakama ya Wilaya auawa kwa kipigo kutoka kwa Wananchi wenye hasira kali

Hii ikiendelea uonevu wa kupitia kalamu utapungua.
 
dah, kuna watu wakiwa na bastola wanafikiri wamemaliza kila kitu, ona bastola imeshindwa kumsaidia kuokoa uhai wake.

Tuishi kwa busara na adabu nyingi ili tuwe salama kuliko kuamini silaha tulizo nazo.
Polisi wa Tz waione hii
 
JF AKSANTE KAMPUNI YAKE IMERUDI... UTAANZISHA LINI CHAMA, UTAANZISHA LINI BIASHARA, UTANUNUA LINI KIWANJA KILICHOPIMWA, UTAJENGA LINI FLY OVER, UTAJENGA LINI MWENDOKASI, UTAPELEKA LINI SGR KILIMANJARO VYOTE HIVYO UTAVILETA WEWE WELEWA
Duuuh! mkuu mbona hata sielewi unamaanisha nini au umeñiquote kimakosa au labda unanena kwa lugha?
 
hii story mbona kama ya miaka kadhaa iliyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…