Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa majomboSio mbeya tu
Nenda mabibo wanapaita mahakama ya ndizi
Bila jombo jomba huingii
hv mbunge wa mbeya mjini ni nanii???
Mbeya, Ilala, Mabibo.Sio mbeya tu
Nenda mabibo wanapaita mahakama ya ndizi
Bila jombo jomba huingii
Jamhuri ya wachuzi, majiji na miji imejaaa masoko na kila mwaka wanaongeza masokoHivi ni nani alitoa wazo la kupafanya Stendi ya Daladala ya Kabwe kila ikifika jioni kupageuza Soko?
Moja hili eneo ni chafu kupita maelezo na Wafanyabiashara wamejianzishia Dampo hapohapo.
Yaani huku taka zimejaa lakini pembeni yake unaona mama anaendelea na kuuza Samaki, Matunda, Mboga Mboga n.k.
Maafisa wa Afya wale 'Mabwana Afya' mmetulia kimya kana kwamba hamuoni kinachoendelea maeneo hayo au mpaka Watu waugue kipindupindu ndiyo mtapazuia.
Ukiachana na uchafu pia ikifika jioni Daladala zinapata shida sababu stendi inakuwa imebanwa na Wafanyabiashara, hivyo kusababisha kero isiyokuwa na msingi.
Nao vibaka hawako nyuma kila ikifika jioni wanaingia kazini ukizubaa tu imekula kwako.
Tatizo ni sera za Wanyonge, Sheria zinapuuzwa kisa wanyonge,Uchafu ni kama utamaduni wa mtanzania kwa sasa si mkoa huo tu.
Hili ni jambo baya sana, sema ndiyo mtaji wa wanasiasa.Tatizo ni sera za Wanyonge, Sheria zinapuuzwa kisa wanyonge,