KERO Mbeya: Kabwe hapafai kuwa Soko Jioni, ni pachafu kupindukia, tunakaribisha Kipindupindu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Masoko mengi Tanzania ni machafu, wanachojua ni kukusanya ushuru tu.
Mara ya mwisho nilikwenda soko la Ilala mwaka jana, nimeapa sikanyangi tena. Soko hata choo kina afadhali.
Hatari
 
Sio mbeya tu
Nenda mabibo wanapaita mahakama ya ndizi
Bila jombo jomba huingii
Mbeya, Ilala, Mabibo.

Kwahiyo, sio tatizo la wananchi ni wanaowasimamia wananchi
 
Jamhuri ya wachuzi, majiji na miji imejaaa masoko na kila mwaka wanaongeza masoko
 
Wahusika watu wa afya walifanyie KAZI.
Mbeya Kwa sasa kipindupindu kinazidi kushika Kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…