DOKEZO Mbeya: Kemikali za kuivisha Ndizi zimehamia katika matunda mengine, Wataalam wa Afya watueleze kama ni salama

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hahahahahaha
 
Wafundishwe tu njia salama ya kutumia. Kawaida matunda yanapoiva hutoa kemikali ambayo huchochea matunda mengine kuiva. Sasa waivishaji hutafuta kemikali kama hiyo ya kutengenezwa. Wenzetu wanafanya hivyo miaka na miaka.
 
Wanasubiri chadema watangaze maandamano waonyeshe uhodari wao.
Kifupi hiki chombo kimejisiwa sana, huwa nashindwa kuelewa hiyo ulipo tupo yao ina lenga nini hasa wakati kuna mambo ya kuhatarusha uhai wa watanzania yanafanyika nanwao wapo tuu, hivi hawana vitengo ? Au wao ni kua deal mambo ha kiutawala tuu!
 
Mkuu uko vizuri. Mimi nilisoma chemistry yenye 'CSEE' na 'ACSE' ila sikumbuki hii reactions. 🙏
 
Huwa najiuliza TISS wanafanya nin cha ziada zaidi ya kulinda maslahi ya wanasiasa ,mwenge,cjui bendera chadema ,badala ya mambo ya msingi kama haya.
Mkuu hao unaowataja wenyewe wanategenea wewe hapo utoe taarifa kwani hawawezi kuwa kila eneo alafu wanaweza kuwa washalinasa jambo Hilo na kuliwasilisha kwa watu wa uchunguzi (polisi) mchakato ukawa mgumu hapo
 
Asante kwa utafiti wako,hapa atakuja mnufaika wa mambo haya atatuambia sii ya kweli na uzushi kwa manufaa yake na genge la biashara hii haramu ya kuangamiza uhai wa watanzania.Halafu atakuambieni kuwa ni upotoshaji.Tafsiriye yangu kwenye hili ni kuwa huu ni ufisadi mpya kama ulivyozoeleka na kuhalslishwa na unalindwa na chawa.
 
Kifupi hiki chombo kimejisiwa sana, huwa nashindwa kuelewa hiyo ulipo tupo yao ina lenga nini hasa wakati kuna mambo ya kuhatarusha uhai wa watanzania yanafanyika nanwao wapo tuu, hivi hawana vitengo ? Au wao ni kua deal mambo ha kiutawala tuu!
Nishida sana
 
umeokoa maisha ya wengi sana ,yaan kwa taarifa hii wewe ni mzalendo haswa na wala sio uzalendo wa kufia chama bali wa kuwajali watanzania wenzio na kuitakia heri Tanzania ,Mungu akubariki sana
Amina
 
Machungwa kanunue muheza pale segera wanaouza barabarani sio waaminifu wanayaunguza na moto ili kuwalaghai wageni wasiojua machungwa
 
Vijana wameongeza ubunifu kwenye ajira zao, japo ubunifu huu unaweza igharimu afya ya mlaji.
 
Hatari sana, hii kemikali itakua haijafika MTO WA MBU? kwa wenyeji wa Arusha, Mto wa Mbu njia ya kuelekea Karatu, Ngorongoro ni eneo maarufu kwa uuzaji wa ndizi mbivu mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…