Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana

Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana

Status
Not open for further replies.
Pole kamanda wabaya wako wanajulikana tu.
 
JF kweli imeingiliwa na watu wasio na maono ya mbali jiulizeni kwanini amepigwa risasi? Is it a true story? Source? Picha yeyote? Taarifa zozote za kiintelligencia? Huenda habari siyo ya kweli au alikuwa jambazi? Au alidhulumu? Au amepigwa na majambazi? Au anatuhumiwa kupora wake wa watu km babu yake? Then unapost ujumbe wk sio kiongozi wa CDM basi amepigwa kwasababu ya kisiasa tena mwenyejikiti wa kitongoji? Acheni siasa za maji taka pekekeni mambo yenu ya kusadikika FB

Kuna mahali umetaja taarifa za kiintelijensia!? my foot..!! They can kill us but they'll never stop us..!!
 
Mpaka sas hakuna kiongozi wala mwanachadema aliyethibitika au kuhisiwa na wananchi kufanya mauaji au kudhuru kwa ajili ya siasa lakini wana ccm na vyombo vya dola wanajulikana kwa mambo mabaya wanyowafanyia wanaohisi ni mapinzani wao.mbwambo na mwang
 
Punde tu na wao wataanza kufa, najua watapaniki sana lakini hakuna damu yenye thamani kuliko damu za watu wengine hivyo itakapo fikia zamu yao itabidi wawe wavumilivu.
 
Tulishaanza kuuana kutokana na udini. Hivi sasa tunakoelekea tutauana kutokana na tofauti za vyama. Hizi kauli na fitina zinazofanywa na akina Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye dhidi ya vyama vya upinzani zitatupeleka kwenye majanga makubwa kama tunayoanza kuyaona kwenye udini. Zile video mlizotengeneza akina Nape, plus kauli zenu za kuita vyama vingine kuwa ni vya kigaidi, ni za hatari sana.

Baada ya mambo kwenda kombo tutawasikia akina Kikwete wakisimama na kusema "kwa muda mrefu tulivumiliana katika siasa za vyama vingi, sasa leo tumepatwa na nini"..., huku akisahau kwamba akina Nape na Mwigulu wanahubiri kauli za magaidi na matusi dhidi ya binadamu wengine waliopo upinzani na wanaendelea kuchekewa. Fanyeni siasa za kistaarabu akina Nape na Mwigulu. Wahurumieni watanzania, wanawake na watoto watakaoteseka baada ya nchi kuchafuka.

hutumii kuchwa kufikiri. Video ya lwakatare ni halisi..kemea ugaidi na mauaji acha uzuzu
 
Last edited by a moderator:
hapa kuna jambo ni yale yale yaliyoanza kufanywa na kina January Makamba kule tanga na masasi! serikali ina maswali ya kujibu
 
hapa kuna jambo ni yale yale yaliyoanza kufanywa na kina january makamba kule tanga na masasi! serikali ina maswali ya kujibu

ni yale yale ya akina lwakatare na makada waliotaka kumuua mama yake zitto
 
hutumii kuchwa kufikiri. Video ya lwakatare ni halisi..kemea ugaidi na mauaji acha uzuzu

Kama ni halisi au sio "halisi" muulize Lamecki Maderu Nchemba, atakwambia... afu mbona povu umelishwa OMO..!?
 
Pole kamanda mabadiliko huwa hayaji kirahi bali huwa na shurba kama hizo
 
Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana!
kwaniîkishatoka nje huingia hdi ndani ya familia
 
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Mbeya Vijijini, Jackson Mwasenga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mzalendo kijiji cha Ndola mjini Mbalizi amepigwa risasi na watu wasiojulikana na kujeruhiwa maeneo mbalimbali ikiwemo mkononi.

Akizungumza na mwandishi wetu akiwa katika Hospitali ya Mbalizi Ifisi akipata matibabu baada ya kupigwa risasi amesema hajui sababu ya kufanyiwa ukatili huo kwani hana ugomvi na mtu.
Mpeni pole kamanda wetu Mungu ampiganie apate nafuu, kuna nini mbona watu wetu waandamwa???

 
Hiyo itaongezeka tunavyoelekea 2015, lakini hakuna kukata tamaa. Pole Kamanda, ongeza spidi.
 
Alafu siku hizi tangu atuambie tumuombee kwani ana ushaidi mzito anataka utoa hadi mbinguni yupo kimya sana sijui kwa nini?

Jibu lipo hapo kwenye Bold, ukiomba maombi kwa Mung while unadhihaki watu ni kama kumfanya Mungu hayupo, lazima ajidhihirishe kua yupo na aibu yake hua ndio kama hiyo anayoipata sasa, napenda nimpe habari mbaya, mengi yatakuja zaidi juu yake na mauchawi yake hayatamsaidia!
 
JF kweli imeingiliwa na watu wasio na maono ya mbali jiulizeni kwanini amepigwa risasi? Is it a true story? Source? Picha yeyote? Taarifa zozote za kiintelligencia? Huenda habari siyo ya kweli au alikuwa jambazi? Au alidhulumu? Au amepigwa na majambazi? Au anatuhumiwa kupora wake wa watu km babu yake? Then unapost ujumbe wk sio kiongozi wa CDM basi amepigwa kwasababu ya kisiasa tena mwenyejikiti wa kitongoji? Acheni siasa za maji taka pekekeni mambo yenu ya kusadikika FB

Cheki picha yake hapo kwny hiyo link akiwa hospitali acha kutoka mapovu. Licha ya kuwa mwenyekiti wa kitongoji pia huyu ni katibu mwenezi wa wilaya so ni mtu mkubwa sana kwenye chama acha kudharau vyeo vya watu we mchumia tumbo.
 

Attachments

  • IMG-20130515-WA0002.jpg
    IMG-20130515-WA0002.jpg
    41.7 KB · Views: 588
ukombozi hauji kiraisi sana kamanda pole sana get well soon.
 
Tulishaanza kuuana kutokana na udini. Hivi sasa tunakoelekea tutauana kutokana na tofauti za vyama. Hizi kauli na fitina zinazofanywa na akina Mwigulu Nchemba na Nape Nnauye dhidi ya vyama vya upinzani zitatupeleka kwenye majanga makubwa kama tunayoanza kuyaona kwenye udini. Zile video mlizotengeneza akina Nape, plus kauli zenu za kuita vyama vingine kuwa ni vya kigaidi, ni za hatari sana.

Baada ya mambo kwenda kombo tutawasikia akina Kikwete wakisimama na kusema "kwa muda mrefu tulivumiliana katika siasa za vyama vingi, sasa leo tumepatwa na nini"..., huku akisahau kwamba akina Nape na Mwigulu wanahubiri kauli za magaidi na matusi dhidi ya binadamu wengine waliopo upinzani na wanaendelea kuchekewa. Fanyeni siasa za kistaarabu akina Nape na Mwigulu. Wahurumieni watanzania, wanawake na watoto watakaoteseka baada ya nchi kuchafuka.

Nafikiria kuachana na CHADEMA nimegundua kuwa Chadema ni hatari sana, kwasababu sina ulinzi wowote ngoja nihamie CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom