Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana

Mbeya: Kiongozi wa CHADEMA ajeruhiwa kwa risasi na watu wasiojulikana

Status
Not open for further replies.
mzaamzaa hutumbula usaha . Kwanini sasa tumefikia kipindi cha kushindwa kuvumiliana? Kwenye taasisi za dini vita n kwenye siasa vita , Tutasalimika !!!
 
Katibu Mwenezi wa CHADEMA Wilaya ya Mbeya Vijijini, Jackson Mwasenga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mzalendo kijiji cha Ndola mjini Mbalizi amepigwa risasi na watu wasiojulikana na kujeruhiwa maeneo mbalimbali ikiwemo mkononi.

Akizungumza na mwandishi wetu akiwa katika Hospitali ya Mbalizi Ifisi akipata matibabu baada ya kupigwa risasi amesema hajui sababu ya kufanyiwa ukatili huo kwani hana ugomvi na mtu.
Khaa!! ilikuwa wapi? muda gani? alikuwa anatoka wapi? Alikuwa na nani? at least nikijua hayo ndiyo ninaweza kuchangia. Mijitu mingine naturally huwa inakuwa mizinzi au mijambazi halafu inaingia kwenye siasa kuficha dhambi zao. Politics isnt everything :mvutaji:
 
Kaka kwanza pole sana ila kumbuka mateso yakizidi juaneemaimekaribia,naamini wananchi wote watakuwa wanakuombea ucjali utapona kaka ckucnyingi.
 
Kwani ni lazima iwe siasa?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Siku ccm ikikubali kuwa hii nchi siyo mali yake bali niya watanzania wote bila kujali dini zao wala vyama yao ,daima hutackia raia kapigwa risasi wala kauwawa bila sababu za msingi,

Ni ccm pekee itakayoiingiza nchi hii vitani na sio cuf wala cdm or tlp,big up kwa rais wa zambia aliekubali kukabidhi madaraka kwa Upinzami bila kumwaga damu kwa vile anatambua ile nchi siyo yake na kizazi chake pekee bali ni ya wazambia wote bila kujali vyama vyao wala dini zao
 
Nafikiria kuachana na CHADEMA nimegundua kuwa Chadema ni hatari sana, kwasababu sina ulinzi wowote ngoja nihamie CCM.
Lema anasema hii ndiyo dhambi kubwa zaidi kuliko zote, "Uoga"
 
HII NDO CCM BWANA Akifa sawa,akipigwa sawa...wala hawawajali watz,la msingi kitumbua chao kisiingie mchanga.
 
Pole sana jamaa......na tusipotafutia suluhisho mapema tutaharibu sifa yetu ya nchi ya aman...Tz yetu sote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom