Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,681
Kwanza Wasafwa hawana "Mwa"....prefix hii n kwa Wanyakyusa2,we utakuwa upo Intern...ndo mana ata mawazo yako ya kungaunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza Wasafwa hawana "Mwa"....prefix hii n kwa Wanyakyusa2,we utakuwa upo Intern...ndo mana ata mawazo yako ya kungaunga
Mbeya ni Mkoa wenye Historia tata sana Tanzania, ni Mkoa wenye Makanisa Mengi sana lakini ni Mkoa ambao watu wake wanawindana kama Chui anapowindwa kwa maana Ngozi yake ni dili, lakini vile vile ni Mkoa ambao sasa ikifika saa Kumi na Mbili wakazi wake hujifungia ndani ili kuepuka kushambuliwa kwa Nondo kwa imani za Kishirikina.
Lakini nimekutana na Jambo la Ajabu ajabu sana juu ya hawa ndugu zetu Wasfwa ambao ndio wakazi wa Mbeya, wamekuwa wakiwapa watoto wao Majina mpaka unashangaa sana
Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa
1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney
Sasa Mtu unamwita mtoto wako RPCMorogoro kweli haya ni Mapenzi au
Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani
Mkuu si kweli kwamba wasafwa hatuna majina yanayoanzia na Mwa..... kuna majina kama "mwashadema", "mwandala", "mwaninga", "mwanzala"..etc
Ni kweli kabisa kuna baadhi yetu wasafwa huita majina "eti" kwasababu ya umaarufu...kuna watu huita majina kama "Newton", "Girsanov" etc.... Kwanini wanaita majina ya namna hiyo?.......kwasababu ya hao watu ni maarufu?....Binafsi, I have not researched on this.....
Kazi kweli, kwa mtindo huu nawashauri wanachama wote wa JF kukaa karibu na maziwa fresh maana sumu/uongo mwingine ni hatari, majina yote hayo uliyotaja ni ya kinyekyusa live hapo hakuna jina la msafwa. kuwa makini ktk kufanya study yako (kuepuka biasness)
Mkuu Nimezungumzia Wasafwa na siyo Wanyakyusa
Hayo ni majina manne tu kati ya wanyakyusa takribani 1050000.
Rooney peke yake haiashirii unyakyusa kama ilivyo Scania Hundred, hujaweka uthibitisho kuwa hao ni wanyakyusa.
Kulikuwa na kiongozi wa juu jeshi la polisi anaitwa Absolom Mwakyoma isijekuwa umechanganya dawa na mtu akamwita kwa cheo, mkoa wake na jina la ukoo ukadhania ni jina la kuzaliwa.
Frank ni jina kikristo lenye asili ya uingereza vile vile Lampard ni jina kikristo lenye asili ya uingereza na kaikatazwi na wala si ajabu kumpa mtoto majina hayo mawili.
Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa
1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney
Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani
Nimeishi Mbeya kwa muda wa kutosha lakini sijawahi kusikia majina hayo kwa kabila la kisafwa! Majina ya kisafwa yaliyozoeleka ni kama haya;Mfano wa Majina ya watoto ambayo niliyowahi kukutana nayo pale nilipokuwa niko zamu kwenye wodi ya watoto Rufaa
1: Frank Lampard Mwambulukutu ( hako ni katoto kadogo)
2. Scania Hundred
3: RPCMorogoro Mwakyoma
4: Rooney
Sasa Mtu unamwita mtoto wako RPCMorogoro kweli haya ni Mapenzi au
Napenda sana kusikia kutoka kwa Wasafwa naamini mko hapa Jukwaani
Hayo ni majina manne tu kati ya wanyakyusa takribani 1050000.
Rooney peke yake haiashirii unyakyusa kama ilivyo Scania Hundred, hujaweka uthibitisho kuwa hao ni wanyakyusa.
Kulikuwa na kiongozi wa juu jeshi la polisi anaitwa Absolom Mwakyoma isijekuwa umechanganya dawa na mtu akamwita kwa cheo, mkoa wake na jina la ukoo ukadhania ni jina la kuzaliwa.
Frank ni jina kikristo lenye asili ya uingereza vile vile Lampard ni jina kikristo lenye asili ya uingereza na kaikatazwi na wala si ajabu kumpa mtoto majina hayo mawili.
Asante mkuu kwa ufafanuzi, Ila marekebisho kidogo. Hakuna jina la kikristo hapa duniani. Frank na Lampard ni jina la kiingereza au ukipenda jina la kimaGharibi na sio la kikristo. Mkristo anaweza kuwa na jina lolote kama vile Mohamed, Asha, Raphael, Elizabeth, Mwakyoma ama Tukupasya. Hapa utakuta kuna majina yenye asili ya Mashariki ya kati, Magharibi, Afrika na kwingineko.
Hakuna jina la kiislam, kikristo wala kipagani. Tusiwe watumwa wa mawazo.
Wakinga wa njombe balaa.Wakisikia wamishenari wanaongea kingareza na kitu kipya kwa wanatumia hilo jina
Gear box tweve.
Soks sanga.
TV sanga.
Wewe msafwa wa wapi? unaonekana kutokujua majina yaliyotajwa hapo ni ya kinyaki?
Nimeishi Mbeya kwa muda wa kutosha lakini sijawahi kusikia majina hayo kwa kabila la kisafwa! Majina ya kisafwa yaliyozoeleka ni kama haya;
Mbwiga, Mwandambo, Ndambo, Nzunye, Shungu, Mbozyo, Ilongo, Shali, Tabu, Mwisyo, Shimba, Nzalu, Shogo, Ndele.