prophet_tz
Senior Member
- Feb 14, 2022
- 176
- 302
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122]Ngoja niwahi nafasi mimi na mbwa wangu kabla mvua kuanza
Kama ilivyo kuwa kipindi cha nuhu ...ndivyo ilivyo hata sasa mkuuAmeshatoa bei elekezi kikiisha? Anapokea oda mpya? Atakizindua lini?
Mmh basi kuna shida mahaliKama ilivyo kuwa kipindi cha nuhu ...ndivyo ilivyo hata sasa mkuu
Hiyo ni Safina na baadhi wateule tumekwisha pewa tikiti za kupandia, buriani.Habarini za mda huu ndugu zangu ....kule mbeya wilaya ya kyela kata ya ipinda kuna mwamba Ana tengeneza hii kifaa kwasabu nimeona nikasema nije kuwaeleza ndugu zangu ili badaye tusije laumiana kusema cjawambia .... HAYA WATU WA MBEYA ...UGONILE!!! View attachment 2180118
Nimeambiwa watumiaji wa mirinda , na walaji wa pilau au watumiaji wa mtandao pendwa hawaruhusiwiUsishangae akina mariam biriani ndo watajaa humo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bujibuji Simba Nyanaume anahusika hapo?
Maana juzi alipost picha yake yupo kando ya maji.