Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hivi mliofika Mbeya Kwa Sasa kimaendeleo inaizidi Mwanza baada ya kulazimishwa kupewa "Msomi?"Jimbo limekosa maendeleo kwa kipindi kirefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mliofika Mbeya Kwa Sasa kimaendeleo inaizidi Mwanza baada ya kulazimishwa kupewa "Msomi?"Jimbo limekosa maendeleo kwa kipindi kirefu
Hivi mliofika Mbeya Kwa Sasa kimaendeleo inaizidi Mwanza baada ya kulazimishwa kupewa "Msomi?"
Na soon tunakwenda kuushangaza ulimwenguSasa hivi Mbeya ina maendeleo kuliko mikoa yote Tanzania maana wana msomi walivhotaka wameshapata
Hakuna loloteMbeya (M) tunajivunia Mbunge wetu msomi
Mbeya oyeeeHakuna lolote
Mbeya Stand upKwa Sasa tunahitaji Mbunge Msomi wa kutuletea maendeleo jimboni. Vurugu, maandamano na kufokafoka si maendeleo.
Kila la heri watia nia.
Faida zake ni zipi?Kwa mara ya Kwanza toka kuumbwa ulimwengu. Mbeya inatoa Kiongozi wa Muhimili
Ulifanya Jambo la maanaBinafsi sikumchagua SUGU 2015 pia mwaka huu sitamchagua tena
mleta mada kama sio "cheusi mangala" mwenyewe basi ni chawa wake!Kwa Sasa tunahitaji Mbunge Msomi wa kutuletea maendeleo jimboni. Vurugu, maandamano na kufokafoka si maendeleo.
Kila la heri watia nia.
Chato ilitoa RAIS kuna kipya gani?Faida zake ni zipi?
Sasa Maendeleo mmeyapata baada ya kumchgua Mbunge Msomi.Kwa Sasa tunahitaji Mbunge Msomi wa kutuletea maendeleo jimboni. Vurugu, maandamano na kufokafoka si maendeleo.
Kila la heri watia nia.
maendeleo kama yoteSasa Maendeleo mmeyapata baada ya kumchgua Mbunge Msomi.