Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Kwa hiyo mtu ambae anaweza kuwasaidia ni msomi tu kwa sababu Majimbo yote yenye wabunge wasomi yanaendelea sana? Mimi sijamtaja Sugu.Miaka 10 ya SUGU kafanya nn Mbeya zaidi ya kujineemesha binafsi? Show off mitandaoni. Huku Wapiga kura wamezungukwa na umaskini wa kutupa
Amandla...