Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Sawa dadaWewe hapo Lumumba ndiyo jamvi la wageni watu wanajipigia tu. Mbowe kakuweza kweli kukutatua marinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa dadaWewe hapo Lumumba ndiyo jamvi la wageni watu wanajipigia tu. Mbowe kakuweza kweli kukutatua marinda
Chokwo tuliza kishundu hicho uzae salamaSawa dada
Sawa dada.Chokwo tuliza kishundu hicho uzae salama
Kwenye hii Dunia zakuambiwa changanya na zako, mwisho wa siku wewe ndio utakua jela na familia yako ndio itakayo umia.Makamanda tukubali ukweli kuwa Mdude alitumika na akabwagwa kama takataka.
Leo kwenda mahakamani na kujazana kisha kutwanga maphoto sio tija. Ukweli ni kuwa alitumika na kubwagwa.View attachment 1818809
Better late than never I supposeMakamanda tukubali ukweli kuwa Mdude alitumika na akabwagwa kama takataka.
Leo kwenda mahakamani na kujazana kisha kutwanga maphoto sio tija. Ukweli ni kuwa alitumika na kubwagwa.View attachment 1818809
Weee mjinga upo?Hapo kamanda Mbowe anatumbua pesa za ufipa kihalali kabisa ha ha ha.
Mtoto si riziki wewe. Ngoja wakuflash baada ya kuchambiwa.Makamanda tukubali ukweli kuwa Mdude alitumika na akabwagwa kama takataka.
Leo kwenda mahakamani na kujazana kisha kutwanga maphoto sio tija. Ukweli ni kuwa alitumika na kubwagwa.View attachment 1818809
Tulia dawa ikuingie kamanda.Weee mjinga upo?
Ukweli mnaufahamu lakini hamtaki kuusema, tatizo ni kutukana matusi viongozi wa nchi kwa kisingizio cha haki ya kukosoa.Siasa za visas na chuki ndio zimemuumiza kijana huyo aliyekuwa maabusu...Niombeee Mwendazake Daah! Wengi bado hawaamini alishaenda...
Kwenye hii Dunia zakuambiwa changanya na zako, mwisho wa siku wewe ndio utakua jela na familia yako ndio itakayo umia.
Siasa kama wale wapiga nyungu saivi wanahimiza barakoa + chanjoDunia ndio ilivyo....
Ila picha inachanganya sana barakoa + halafu kushikana mikono...
Enewei ni siasa ngoja tutulie
LGBTQ mnakuwaga na maneno sanaMakamanda tukubali ukweli kuwa Mdude alitumika na akabwagwa kama takataka.
Leo kwenda mahakamani na kujazana kisha kutwanga maphoto sio tija. Ukweli ni kuwa alitumika na kubwagwa.View attachment 1818809
Alitumika Kama kondom?Alitumika na alitoswa.
Kwani kapigwa mvua ngapi? Akitoka aachane na hiyo biashara ya Ngada.Ukweli mnaufahamu lakini hamtaki kuusema, tatizo ni kutukana matusi viongozi wa nchi kwa kisingizio cha haki ya kukosoa.
Hakuna haki isiyokuwa na mipaka, huwezi kumkosoa Rais wa nchi kwa kumtukana matusi, mtu mwenye umri sawa na baba yake, hiyo siyo haki ni upumbavu. Kwa hiyo mwacheni tu afundishwe adabu.
Mungu alishafanya yake,mahakama sasa itatenda hakiWacha hakimu afanye kazi yake
ww una ushaidi gani kuwa walikuwa wanauza? weka evidenceWewe unabisha kama walikuwa wanauza madawa?
Kesi zenye ulinzi wa namna hiyo ni ama za kigaidi au za kisiasa. Kwa hiyo mchagulie mdude kati ya hayo mawiliSana sana ikabidi Polisi waje na magari yao na silaha zao wakashindwa kuja na vifaru tu