Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa yao hii hapa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante MUNGU,
😆😆😆😆😆Wanatuonya manyani.
Kutoka moyoni au kuna kitu anatafuta?Ndio hawa wote
View attachment 2753626
Mbeya kwa sasa hivi CCM hata wakiiba kura zote mgombea wao yeyote kuanzia diwani, mbunge mpaka rais hawataweza kuwashinda. Uonevu unaoendelea majibu tayari wanayo vifuani, mioyoni na kwenye akili zao sio kijana, mzee au ajuza. CCM wahesabu kupoteza kila kitu Mbeya, Mwanza, Shinyanga, Simiyu,, Mara,, Arusha, Geita, nusu ya Dodoma itapotea, robo tatu ya Morogoro itapotea
Aiseeeeee !!!Mbeya kwa sasa hivi CCM hata wakiiba kura zote mgombea wao yeyote kuanzia diwani, mbunge mpaka rais hawataweza kuwashinda. Uonevu unaoendelea majibu tayari wanayo vifuani, mioyoni na kwenye akili zao sio kijana, mzee au ajuza. CCM wahesabu kupoteza kila kitu Mbeya, Mwanza, Shinyanga, Simiyu,, Mara,, Arusha, Geita, nusu ya Dodoma itapotea, robo tatu ya Morogoro itapotea
Nawapa heko mawakili wasomi Mwakilima an Mwabhukusi kuonesha uzalendo wa hali ya juu sana kumtetea binti huyu anayetaka kuharibiwa maisha yake kwa mashitaka yasiyo na mantiki yoyote kisheria.
Ndio maana mwanzilishi wa somo la 'CRIMINOLOGY' alisema wazi kabisa kwamba waanzilishi wa makosa ya jina kupitia uchochezi , wizi, ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na dhuluma ni wanasiasa walioko madarakani
Mbeya kama Mbeya
HahahahahahaKutoka moyoni au kuna kitu anatafuta?