Mbeya: Mawakili waingilia kati kutaka Mwimbaji aliyekamatwa kwa Uchochezi afikishwe Mahakamani

Mbeya kwa sasa hivi CCM hata wakiiba kura zote mgombea wao yeyote kuanzia diwani, mbunge mpaka rais hawataweza kuwashinda. Uonevu unaoendelea majibu tayari wanayo vifuani, mioyoni na kwenye akili zao sio kijana, mzee au ajuza. CCM wahesabu kupoteza kila kitu Mbeya, Mwanza, Shinyanga, Simiyu,, Mara,, Arusha, Geita, nusu ya Dodoma itapotea, robo tatu ya Morogoro itapotea

Nawapa heko mawakili wasomi Mwakilima an Mwabhukusi kuonesha uzalendo wa hali ya juu sana kumtetea binti huyu anayetaka kuharibiwa maisha yake kwa mashitaka yasiyo na mantiki yoyote kisheria.


Ndio maana mwanzilishi wa somo la 'CRIMINOLOGY' alisema wazi kabisa kwamba waanzilishi wa makosa ya jinai kupitia uchochezi , wizi, ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka na dhuluma ni wanasiasa walioko madarakani
 
Aiseeeeee !!!
 
Polisi wenyewe ndio wanatanya promo ya huo wimbo.
Kama walivyompa Dr Slaa umaarufu hivyo viyvo kwa ngorongoro na sasa huyu binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…