KAWETELE
JF-Expert Member
- Dec 11, 2015
- 700
- 1,674
Huyu Tulia akson Tangu ateuliwe na Magufuli kama "mbunge wa Dar" (Ndipo alipo pigia kura ya meya), alianza maandalizi ya kupata ubunge wa kuchaguliwa, mwanzoni nguvu zote alizielekeza huko kwao alikozaliwa ila baadaye akaona isiwe tabu akahamia Mbeya mjini kujaribu kumtoa Sugu.
Akaanzisha ujenzi maeneo ya Itezi ili aonekane mtoto wa Mbeya mjini. Akaanzisha taasisi nyingi nyingi za kutoa msaada kwa miaka yote mitano alikuwa busy kubomoa ngome ya Sugu akisaidiwa kwa ukaribu na polisiccm.
Hata ziara za jiwe akageuka ndiye msemaji wa wana Mbeya mjini.
Sasa ni mwaka wa uchaguzi. Pale yupo Sugu ambaye ni charismatic " ana bahati ya kupendwa" pamoja na mapungufu yake usela usela.
My take:
Ili taasisi uchwara za mikopo na kugawa T-shirt kwa wapiga debe, ili wana Mbeya muendelee kufaidi vibajaji vya bure, ili muendelee kumuona kwenye vipaimara, ili aendelee kugawa gawa hela kwenye stendi, ili aendelee kuwa mtu wa watu dawa ni moja tu, ni kumpa Sugu tena miaka mingine 5 na hii mtakuwa mmevunja record ya jimbo hilo kuongozwa na mtu kwa miaka 15 tangu mfumo wa vyama vingi uanze.
Akaanzisha ujenzi maeneo ya Itezi ili aonekane mtoto wa Mbeya mjini. Akaanzisha taasisi nyingi nyingi za kutoa msaada kwa miaka yote mitano alikuwa busy kubomoa ngome ya Sugu akisaidiwa kwa ukaribu na polisiccm.
Hata ziara za jiwe akageuka ndiye msemaji wa wana Mbeya mjini.
Sasa ni mwaka wa uchaguzi. Pale yupo Sugu ambaye ni charismatic " ana bahati ya kupendwa" pamoja na mapungufu yake usela usela.
My take:
Ili taasisi uchwara za mikopo na kugawa T-shirt kwa wapiga debe, ili wana Mbeya muendelee kufaidi vibajaji vya bure, ili muendelee kumuona kwenye vipaimara, ili aendelee kugawa gawa hela kwenye stendi, ili aendelee kuwa mtu wa watu dawa ni moja tu, ni kumpa Sugu tena miaka mingine 5 na hii mtakuwa mmevunja record ya jimbo hilo kuongozwa na mtu kwa miaka 15 tangu mfumo wa vyama vingi uanze.