Mbeya: Mkuu wa Mkoa feki akamatwa akisilikiza kero za Wananchi

pantheraleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
692
Reaction score
880
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025

Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.

Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
Your browser is not able to display this video.
 
Mhhhh!hii dunia yanipasa kuishi na watu kwa akili sana!mkuu wa mkoa ashatupiwa ndoano😁
 
Hivi huwa mnaandika his thread mumelewa, au ndio uchawa umewazidi? Mkuu wa, mkoa mbona Jana alimpokea, NWM. JF ni sehemu salama, na, sio sehemu ya kutupikia majungu na ujinga. Moderator ondoeni huu uchafu.
 
Hivi huwa mnaandika his thread mumelewa, au ndio uchawa umewazidi? Mkuu wa, mkoa mbona Jana alimpokea, NWM. JF ni sehemu salama, na, sio sehemu ya kutupikia majungu na ujinga. Moderator ondoeni huu uchafu.
Lkn jopo la uteuzi litaona mikoa hatari sana kusimamia ni
1. Dar es Salaam
2.mbeya
3. Mwanza
4. Arusha.


Juma ni kijana msikivu sana. Nenda homera nenda baba......
 
Hii kampeni against homera naona imepamba moto
 
Mkuu inaonekana mnagombea jimbo moja
 
Hivi huwa mnaandika his thread mumelewa, au ndio uchawa umewazidi? Mkuu wa, mkoa mbona Jana alimpokea, NWM. JF ni sehemu salama, na, sio sehemu ya kutupikia majungu na ujinga. Moderator ondoeni huu uchafu.
na bado kuna watu wame amini na kumsifia mtoa bandiko

tanzania ina shangaza sana

kijana hata hafanani na ukuu wa mkoa ila bado kuna wajinga walimwamini

daa hii nchi ina wapumbavu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…