pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 692
- 880
Kama Wana akili za kutambua na kukubaliMikskati inatibuliwa kwa skili.
Huu ujumbe utafika vizuri sana kwa mamlaka za uteuzi
Hahahahaah kuna yule Maganga WA CWTTanzania, nakuita mara tatu bado raisi feki kujitokeza
Hivi huwa mnaandika his thread mumelewa, au ndio uchawa umewazidi? Mkuu wa, mkoa mbona Jana alimpokea, NWM. JF ni sehemu salama, na, sio sehemu ya kutupikia majungu na ujinga. Moderator ondoeni huu uchafu.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911217
Kimsingi aachiwe.Feki ni huyo Homera.
wamuachie huyo kijana kero za wananchi ni nyingi,kijana kathubutu angalau kuzichukua na kuzifikisha mahala husika.
Lkn jopo la uteuzi litaona mikoa hatari sana kusimamia niHivi huwa mnaandika his thread mumelewa, au ndio uchawa umewazidi? Mkuu wa, mkoa mbona Jana alimpokea, NWM. JF ni sehemu salama, na, sio sehemu ya kutupikia majungu na ujinga. Moderator ondoeni huu uchafu.
Hii kampeni against homera naona imepamba motoMkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911217
Mkuu inaonekana mnagombea jimbo mojaMkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911217
Ila juma ni mwansiasa mpole na makini sanaHii kampeni against homera naona imepamba moto
Tusubirie maana huu ni uzi wa 3 unamhusu HomeraKama Wana akili za kutambua na kukubali
na bado kuna watu wame amini na kumsifia mtoa bandikoHivi huwa mnaandika his thread mumelewa, au ndio uchawa umewazidi? Mkuu wa, mkoa mbona Jana alimpokea, NWM. JF ni sehemu salama, na, sio sehemu ya kutupikia majungu na ujinga. Moderator ondoeni huu uchafu.
Una uhakika bado hajajitokeza?Tanzania, nakuita mara tatu bado raisi feki kujitokeza
Shida inakuja pale mtoa mada ni yule yule, kumaanisha kuna maslahi yao binafsiTusubirie maana huu ni uzi wa 3 unamhusu Homera