Mbeya: Mkuu wa Mkoa feki akamatwa akisilikiza kero za Wananchi

Ila juma ni mwansiasa mpole na makini sana
tokea shule ya msing nimesoma nae bombambili,songea, ruvuma kijana alikuwa mpole haswa nakumbuka kuna siku tulimbebesha mahindi dumla kumi na tano mzigo wa watu sita tukitoa shule kwenda kusaga oya homera tulikupa mitama njoo dm nikwambie mi ni nani ila tulikuonea
 
Hawaoni kama kamrahisishia mkuu wa mkoa kazi yake
Mkuu wa mkoa mwenyewe hakai mkoaani hapo kutwa kiguu na njiaa

Ova
 
Kwani huyo RPC bado yupo huko Mbeya?

 
Hii nimeipenda sana na Vijana wengine waige pia kuna wabunge hawafiki majimboni halafu watu wanalalamika eti hawana ajira..

Amka vizuri vaa vizuri Kodi V8 yako safi ingia mtaani uliza watu shida andika kwenye diary kila siku fanya kitu kipya nakuhakikishia hata kazi yenyewe itashtuka..😅😅🤣🤣

Ila TANZANIA IMENISHINDA TABIA KABISA
 
Hawaoni kama kamrahisishia mkuu wa mkoa kazi yake
Mkuu wa mkoa mwenyewe hakai mkoaani hapo kutwa kiguu na njiaa

Ova
Mkuu huyo dogo hajakurupuka ni mpango mkakati wa kufikisha ujumbe kwa mteuzi
 
Mtoa mada, unakosa umakini, mwanzo kabisa huyo Kamanda anasema wamemkata mtuhumiwa Tarehe 7 mwezi wa 6 mwaka huu... leo ni February na hata June Haijafika.. kuwa makini unavyo post haya mambo...
 
Kila sehemu pameoza serikalini sipati picha wapigaji wako kwenye nyakati nzuri kiasi gani sasa hivi!!!!
 
Sasa RPC maelezo rahisi tu hayo mpaka usome, wakati ni rahisi tu mistari miwili tu.
 
 
Nimecheka. Sijui jamaa aliwaza nini hadi kufikia hatua hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…