tokea shule ya msing nimesoma nae bombambili,songea, ruvuma kijana alikuwa mpole haswa nakumbuka kuna siku tulimbebesha mahindi dumla kumi na tano mzigo wa watu sita tukitoa shule kwenda kusaga oya homera tulikupa mitama njoo dm nikwambie mi ni nani ila tulikuoneaIla juma ni mwansiasa mpole na makini sana
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911223
Kuti kavu nalo linachomwa moto hahaRC Juma Homera kakalia kuti kavu
Hii nimeipenda sana na Vijana wengine waige pia kuna wabunge hawafiki majimboni halafu watu wanalalamika eti hawana ajira..Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911223
Mkuu huyo dogo hajakurupuka ni mpango mkakati wa kufikisha ujumbe kwa mteuziHawaoni kama kamrahisishia mkuu wa mkoa kazi yake
Mkuu wa mkoa mwenyewe hakai mkoaani hapo kutwa kiguu na njiaa
Ova
Mtoa mada, unakosa umakini, mwanzo kabisa huyo Kamanda anasema wamemkata mtuhumiwa Tarehe 7 mwezi wa 6 mwaka huu... leo ni February na hata June Haijafika.. kuwa makini unavyo post haya mambo...Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911223
Hawana akili hiyo.Kama Wana akili za kutambua na kukubali
CCM usiwategemee sanaTusubirie maana huu ni uzi wa 3 unamhusu Homera
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera anatakiwa awe Mkoani kwake Mbeya. Lakini yeye miezi kadhaa yupo Mkoa wa Jirani huko Ruvuma akifanya mikakati ya Ubunge wa 2025
Hata wananchi walishamsahau wala hawajui kiongozi wao nani.
Sasa leo kajitokeza Mkuu wa Mkoa feki wa Mbeya na kuanza kusikikikiza kero za Wananchi huku RC Juma Homera akiwa Ruvuma kutafuta Ubunge
View attachment 2911223
Nimecheka. Sijui jamaa aliwaza nini hadi kufikia hatua hiyo.Hii nimeipenda sana na Vijana wengine waige pia kuna wabunge hawafiki majimboni halafu watu wanalalamika eti hawana ajira..
Amka vizuri vaa vizuri Kodi V8 yako safi ingia mtaani uliza watu shida andika kwenye diary kila siku fanya kitu kipya nakuhakikishia hata kazi yenyewe itashtuka..😅😅🤣🤣
Ila TANZANIA IMENISHINDA TABIA KABISA