Wewe ni mwalimu au mwanafunzi?Kuna mwalimu mmoja hapa anawaambia watoto waende kula Bata bichi. Yaani ticha anahubiri Bata,anaenda na mkoba wake darasani umekaa vipodozi na anawapa watoto wambebee Mana unakuwa mzito mno. Mara anadai siku hizi matak00 yanaitwa wowowwooo ,kweli jamani hizi ndio taaluma za mwalimu.
Huyo ni mwizi, mwizi apigweDuuuuuuh maandazi manne ndio yana watoa utu kiasi hicho? Au kuna mengine nyuma ya pazia?
Unataka lea weziKuna haja ya mmoja ya walimu design ya hawa kuonyeshwa mfano na wazazi. Akamatwe na apigwe makonde ya haja. Nahisi hapo watapata msg kuwa mtoto wa mtu hapigwi kizembe.
Non concerned. Tucheki behavior anachofundisha Taifa letuWewe ni mwalimu au mwanafunzi?
Sasa uliposikia kwanini usimkanye?Non concerned. Tucheki behavior anachofundisha Taifa letu
Nawaza nipate namba ya mkuu wake ili nimshauri amkanyeSasa uliposikia kwanini usimkanye?
🙁Hujawahi ibiwa maandazi ndiyo maana unasema hivyo.
Huyu dogo kwa kumtazama tu unagundua kitu.Maadili jamani maadili, angekuwa mtaani Wananchi wenye hasira kali wangemmaliza
😕 imeandikwa wapi?Huyo ni mwizi, mwizi apaswa uawa
Akili yako finyu ndo inakwambia kwamba ukimpiga ndo unakuwa umesolve tatizo???Unataka lea wezi
Hawana mamlaka ya kujichukulia sheria mikononi, kama ni mwizi peleka polisi sio kupiga kama unapiga ng'ombe.Unataka lea wezi
aidha ni mwalimu ama hana mtoto. Mtu yeyote anaefikiria rationally hawezi ku comment kitu kama hicho baada ya kuona hali ya huyo mtoto sababu ya kipigo.Akili yako finyu ndo inakwambia kwamba ukimpiga ndo unakuwa umesolve tatizo???
Soma vizuri hapo juu, dogo aliiba na akachezea bakora ,baada ya kufungiwa room dogo ndio akavunja dirisha na hapo ndipo alipopata hayo majeraha ya mguu na usoni.Hawa walimu kwani hawakusikia yaliyomkuta mwenzao.
Hivi kumpiga mtoto kipigo kama mwizi inasaidia nini zaidi ya kuhatarisha ajira na usalama wako. Mtoto kakosa tafuta adhabu ngumu mpe ukiona haitoshi akapumzike nyumbani na wazazi wake.
Hata kama kaiba ila sio kumpiga hivyo.
Hawaoni wenzao wengine wanaishia jela au kufukuzwa kazi kwa ujinga huu huu na bado wanauendeleza.
Kweli sikio la kufa halisikii dawa.
Halafu hapo anaona kachangia hoja nzuri [emoji848] ideot kabisa.aidha ni mwalimu ama hana mtoto. Mtu yeyote anaefikiria rationally hawezi ku comment kitu kama hicho baada ya kuona hali ya huyo mtoto sababu ya kipigo.