Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Watuhumiwa Wawili Ambao Ni Ramadhan Tembo Mwakilasa (28) Na Mariamu Charles Mwashambwa (28) Wote Wakazi Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mtoto Wao Chloy Ramadhan (04).
Kwa Mujibu Wa Kamanda Wa Polisi Mkoani Mbeya Benjamini Kuzaga Tukio Hilo Limetokea Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku Huko Mtaa Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya, Ambapo Mtoto Huyo Alifariki Dunia Baada Ya Kupigwa Fimbo Sehemu Mbalimbali Za Mwili Wake Na Wazazi Wake Hao, Baada Ya Kujisaidia Kwenye Nguo Alizokuwa Amezivaa.
Kamanda Kuzaga Amesema Jeshi La Polisi Linawataka Wazazi/Walezi Kuacha Vitendo Vya Kujichukulia Sheria Mkononi Dhidi Ya Watoto Pindi Wanapokosea Na Badala Yake Watumie Njia Sahihi Na Salama Kuwafundisha Au Kuwaelekeza Bila Kusababisha.
Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Watuhumiwa Wawili Ambao Ni Ramadhan Tembo Mwakilasa (28) Na Mariamu Charles Mwashambwa (28) Wote Wakazi Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mtoto Wao Chloy Ramadhan (04).
Kwa Mujibu Wa Kamanda Wa Polisi Mkoani Mbeya Benjamini Kuzaga Tukio Hilo Limetokea Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku Huko Mtaa Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya, Ambapo Mtoto Huyo Alifariki Dunia Baada Ya Kupigwa Fimbo Sehemu Mbalimbali Za Mwili Wake Na Wazazi Wake Hao, Baada Ya Kujisaidia Kwenye Nguo Alizokuwa Amezivaa.
Kamanda Kuzaga Amesema Jeshi La Polisi Linawataka Wazazi/Walezi Kuacha Vitendo Vya Kujichukulia Sheria Mkononi Dhidi Ya Watoto Pindi Wanapokosea Na Badala Yake Watumie Njia Sahihi Na Salama Kuwafundisha Au Kuwaelekeza Bila Kusababisha.
Jeshi La Polisi Mkoa Wa Mbeya Linawashikilia Watuhumiwa Wawili Ambao Ni Ramadhan Tembo Mwakilasa (28) Na Mariamu Charles Mwashambwa (28) Wote Wakazi Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mtoto Wao Chloy Ramadhan (04).
Kwa Mujibu Wa Kamanda Wa Polisi Mkoani Mbeya Benjamini Kuzaga Tukio Hilo Limetokea Novemba 25, 2024 Saa 2:00 Usiku Huko Mtaa Wa TEKU Viwandani Jijini Mbeya, Ambapo Mtoto Huyo Alifariki Dunia Baada Ya Kupigwa Fimbo Sehemu Mbalimbali Za Mwili Wake Na Wazazi Wake Hao, Baada Ya Kujisaidia Kwenye Nguo Alizokuwa Amezivaa.
Kamanda Kuzaga Amesema Jeshi La Polisi Linawataka Wazazi/Walezi Kuacha Vitendo Vya Kujichukulia Sheria Mkononi Dhidi Ya Watoto Pindi Wanapokosea Na Badala Yake Watumie Njia Sahihi Na Salama Kuwafundisha Au Kuwaelekeza Bila Kusababisha.
Isije ikawa kuna tatizo la akili kwenye ukoo wa Mwashambwa!!
Kuna tabia nyingine zinarithiwa miongoni mwa ndugu, ndiyo maana unaweza kushuhudia ukoo fulani, karibia wote ni wagomvi, au wavivu au wanapenda ushirikina.
Hili tukio la kusikitisha sana, linatufanya tusishangae kwa nini Mwashambwa wa JF yupo hivyo alivyo!!
Yaani mwanao kabisa, hata kama angekuwa ni mtoto wa jirani, unamchapa mpaka unamwua!! Lazima kichwani mwako kuwe na matatizo.
Tunamwomba Mungu wetu wa huruma, amjalie pumziko jema mtoto huyu.
Umeshapewa dokezo la kuwepo shida kwenye ukoo huu! Upo tayari kushuhudia mwanao akifa kwa kichapo? Inaweza isiishie kwa mtoto, hata wewe mwenyewe unaweza kuagishwa toka Ulimwengu huu kwa kipigo.
Umeshapewa dokezo la kuwepo shida kwenye ukoo huu! Upo tayari kushuhudia mwanao akifa kwa kichapo? Inaweza isiishie kwa mtoto, hata wewe mwenyewe unaweza kuagishwa toka Ulimwengu huu kwa kipigo.