TANZIA Mbeya: Mwenyekiti wa UVCCM Makongorosi, Michael Kalinga akutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa

TANZIA Mbeya: Mwenyekiti wa UVCCM Makongorosi, Michael Kalinga akutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa

Pole kwa familia, ndugu na jamaa wa marehemu

Huwezi kusikia haya mambo kwa upande wa Zanzibar
 
Apumzike kwa amani, wale waliodhulumu uhai wake, watapata malipo yao.

Inasikitisha mnoo, unatoaje uhai wa mtu!? 🙄
 

Attachments

  • 20240824_025055.jpg
    20240824_025055.jpg
    34.7 KB · Views: 5
  • downloadfile-21~2.jpg
    downloadfile-21~2.jpg
    141.1 KB · Views: 5
Back
Top Bottom