Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Ungeishairi ccm iache kutumia siasa kuleta misiba kwa kutumia mali za dolaAcha Siasa kwenye misiba. Kama wewe ni binadamu mwenye akili na utashi ungeanza kwa kutoa pole kabla ya kushangilia kifo!
Sawa ostaz Malaria"Hata kumlisha mke wako ni sadaka."
(Bukhari na Muslim)
Unajikuta hakimu. Inawezekana ni CHADEMA pia ndio wahusika, lakini hatusemi. Punguza mihemko CHAGA DEMA mkoje?Ungeishairi ccm iache kutumia siasa kuleta misiba kwa kutumia mali za dola
Sasa hivi yuko anabubujikwa na machoziukute ndio huyo Lucas mwenyewe
kama ni chadema pongezi zao.Unajikuta hakimu. Inawezekana ni CHADEMA pia ndio wahusika, lakini hatusemi. Punguza mihemko CHAGA DEMA mkoje?
Sasa hivi yuko anabubujikwa na machoziukute ndio huyo Lucas mwenyewe
kifo ni kifo tu achaneni na hizo dramaHe found outy swifty....liquidated by who? Ccm wameanza kulana vichwa wao kwa wao
CCM ndo wenye wajibu wa kuzuia haya.Ccm wakiuliwa hatusikii haki za binadamu wakizungumza ila wakifa vyama vingine
KabisaCcm wakiuliwa hatusikii haki za binadamu wakizungumza ila wakifa vyama vingine
Hivi waliyomua yule mwana mama ccm wakamlawiti alafj wakampiga risasi huko iringa wahusika walikamatwaNi wenyewe kwa wenyewe hao wanaouana
Sifa kubwa ya kuwa mwanaccm ni kujitoa akilihapa umeandika ukiwa na akili timamu kweli?
Ni kwelihapana ni mafisi
Kwanini unasema ni ujinga wakati Mwenye nchi alisema ni drama na hakuna ukweli wowote, Mahakama ikajitenga na kujadili Hilo, Speaker akalinyima bunge Haki ya kujadili Hilo,Acha ujinga 🐼
Kwa sababu CCM wameshajitoa ubinadamu na ndiyo wauaji wenyeweCcm wakiuliwa hatusikii haki za binadamu wakizungumza ila wakifa vyama vingine