Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Hakuna mji mbinguni wala duniani uliojaa makolo kamba mbeya
vip Tukuyu stars mkuu ilichukua adi ubingwaView attachment 1722188
Mecco Sports Club ilitamba sana miaka ya tisini ikiziabisha timu kubwa za Simba na Yanga
ππ Atii?
Please accept my offer bibieHapana mimi sio wa mbeya Chief ila muonekano umekaa kimbeya mbeya kabisa 90%..
Yes mbeya sijawahi kufika(nafikiri ni kwakuwa sijawahi kuwa na watu wakaribu huko).natamani kufika Lushoto,Mbeya,Iringa na Njombe tukijaaliwa uzima na afya
Sasa nimejua, next time nikifika tu Uyole nitakucheki.Bahati mbaya haukujua
Karibu sana boss.Sasa nimejua, next time nikifika tu Uyole nitakucheki.
Natumai chupa mbili za Hennessey zitakutosha
Akhsante sana, nikifika Nane nane nitakucheki bibie tufungue Champagne pamoja πΎπ₯πKaribu sanaaaa
Kama ni soda na Juice basi iwe ya Thughimbe au Mkulu angalau isogelee bei ya Savannah πKaribu sana boss.
Natumia soda na juice tu!
God fearing? Acha uongo mnachuna watu ngoziView attachment 1721980
The home for the intelligent people, talented, God fearing and humble down to earth
Hii sio songea kweli? Nakumbuka kiswele na special coach
Mimi ni juice na soda tu!Kama ni soda na Juice basi iwe ya Thughimbe au Mkulu angalau isogelee bei ya Savannah [emoji3]
Itabidi niombe ruhusa ya Jacky sio??[emoji3][emoji3]
Muweke na Humphrey MwakatunduView attachment 1721990
Jeremiah Mwakipesile a.k.a Mwaki
Nani alikuchuna?God fearing? Acha uongo mnachuna watu ngozi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jiji lenye wanawake wenye nguvu
Asante π₯Please accept my offer bibie
Nitakupeleka kote huko baada ya tripu yangu ya Zanzibar (Ndiyo unipokeage kesho ππ)