Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Umeandika kama unasoma shule za kata mkuuNyumba zimesongamana, barabara nyembamba, wafanyabiashara ndogo ndogo hasa kina mama wamejaa kando kando ya barabara, msongamano wa bajaji na boda boda, vibaka
Barabara nyingi ni mbovu, vitu vyote hivyo vinafanya isionekane kama jiji