Mbeya: RC Chalamila ameonya waandishi wa habari kuacha kutumia maneno ''kifo cha ghafla'' wanapoandika habari za msiba

Kwa hiyo mtu akifa ghafla kwa heart attack anataka isemwe amesumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu ili iweje?

Hawa watu wa hii serikali mbona hawajiamini, wanaficha kitu gani?
 
Kweli ata hii tabia ya kutangaza vifo JF siitaki .....ife Mara moja
 
"Watakaobainika kukiuka hilo walale SELO mara moja"
 
Kwa hiyo mtu akifa ghafla kwa heart attack anataka isemwe amesumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu ili iweje?

Hawa watu wa hii serikali mbona hawajiamini, wanaficha kitu gani?
Afadhali iwatungue wao kwanza
 
😆😆😆
 
Aliongelea kwenye kilabu cha Ulanzi au ofisini kwake?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…