Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Mbeya: Shoga ahukumiwa miaka 30 jela

Ujinga mtupu, hiyo BANANA COURT inahukumu watu SUMMARILY bila hata ushahidi?

Kesi gani inaendeshwa kwa siku moja bila kuzingatia ushahidi wa kidaktari na kitaalamu?

This is a WRONG PLEA OF GUILTY which needs to be QUASHED.

Huyu hakimu anatembea na upepo ili aonekane anapinga ushoga. Amulikwe.

Sio haki kumfunga mtu kisa tu ametumia mwili wake kufanya mapenzi atakavyo. Kama kuna sheria inayosema hivyo, ni sheria BATILI.

Akate rufaa haraka.
Nikuoe basi kama unatetea machoko
 
Jamaa mbona anafanana na BAMBO.

Alafu hao sungusungu wangemalizana nae tu inachukua dk ngap kupiga rungu la kichwa?!
 
Kweli awa watu haziwatoshi hata lindi shoga alikubali kosa mahakamani akalimwa miaka 30
🤣🤣🤣 sasa sijui huwa wanawaza nini akili mwao!! Ni ajabu sana, hivi kwa akili za kawaida tu unakubali kua uliingilwa huku ukijua unalimwa nyundo kibao.

Kosa halina hata ushahidi jitu linakubali, ndio maana wadau wanasemaga wapigwe shaba tu, naanza kuwaelewa sasa.
 
Wanaume tunazid kuwa wachache..wazazi tukazie malez kwa wat6to wa kiume kwa nguvu na gharama zote
 
Hata USA kuna majimbo haswa southern states bado Uki kutwa unafanya live ufirauni wa kishoga utakuwa na kesi ya kujibu kisheria.
 
Bado
I was just stating facts; didn't comment anything on private life. Have a nice day too.
Hii kesi naikumbuka hata kabla haijenda Supreme Court enzi zile za youngafricans forum. Its sad the decision ended the way it did. But all in all, in real life, a majority of Americans are not comfortable with gays having rights and freedoms like normal heterosexual couples Moreover, despite this supreme court ruling, the gay life style is still taboo and unacceptable in most states in the american south including Texas.
 
Mahakama ya wilaya ya kyela imemtia hatiani na kumhukumu miaka 30 jela mshitakiwa aliefahamika kwa jina la claud Alex Mwinuka alimaarufu kama kibakuli(22) mkazi wa mwanganyanga kyela kwa kosa la kuruhusu kuingiliwa kinyume na maumbile.

Akizungumza mahakamani hapo Hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya ya kyela Paul Mabula Barnabas amesema kuwa mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapa leo tar 6/4/2022 kwa kosa la kuruhusu mwanaume kumuingilia kinyume na maumbile ikiwa ni kinyume cha kifungu cha 154 kifungu kidogo cha kwanza C cha sheria ya kanuni ya adhabu kama ilivyorekebishwa mwaka 2022.

Baada ya kusomewa mashtaka hayo,mshtakiwa akakili kosa na baada ya kukili mahakama imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela.

Itakumbukwa video za kijana huyo zilisambaa katika mitandao ya kijamii siku chache zilizopita ikiwa amevaa mavazi ya kike usiku wa manane pindi alipokamatwa na vikundi vya ulinzi shirikishi maarufu kama sungusungu.View attachment 2578736
Ila na waliomla witi nao watafutwe wahukumiwe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa sijui huwa wanawaza nini akili mwao!! Ni ajabu sana, hivi kwa akili za kawaida tu unakubali kua uliingilwa huku ukijua unalimwa nyundo kibao.

Kosa halina hata ushahidi jitu linakubali, ndio maana wadau wanasemaga wapigwe shaba tu, naanza kuwaelewa sasa.
Hawa jamaa ni balaa
 
Back
Top Bottom