Mbeya si Green City, ni Dark City; kwa sehemu kubwa mji haujapangika vizuri

Ilemi, Ilolo, Isanga, Mwanjelwa, Nzovwe, Simike, Itunga, Kalobe kote hamna mashimo ya maji taka wala miundombinu ya kisafisha maji taka.

Jiji ni uchafu mtupu
 
Mkuu unafahamu kwanini pameitwa green city?

Mbona hujazungumzia maana halisi ya Green City.
 
Tofali bichi la Mbeya ukiliingiza kwenye mashine inayopima tensile strength,litasomeka linaumadhubuti wa hali ya juu kuliko matofali yanayouzwa Dar es salaam yaliyotengenezwa kwa mchanga na cement.
 
Kwani mji upi umepangika vizuri Tanzania, labda zaidi ya Dodoma chini ya CDA?
 
Tofali bichi la Mbeya ukiliingiza kwenye mashine inayopima tensile strength,litasomeka linaumadhubuti wa hali ya juu kuliko matofali yanayouzwa Dar es salaam yaliyotengenezwa kwa mchanga na cement.
Duuh punguza ujuaji ndugu yangu..hata kama ina umadhubuti..ndio ziote nyasi..mbona mkoa primitive sana wakuu
 
Ujenzi umejengwa kiholela hakuna mipangilio,na hilo tatizo siyo mbeya liko nchi nzima

Ova
Nilikua naangali mpira wa Yanga na Ken gold kabla ya mechi kuanza Azam TV wakachukua picha ya mjini kusema kweli mji upo hovyo yani kwanza Ardhi yake imekaa Viabaya Nyumba zimejengwa hovyo sana
 
Nilikua naangali mpira wa Yanga na Ken gold kabla ya mechi kuanza Azam TV wakachukua picha ya mjini kusema kweli mji upo hovyo yani kwanza Ardhi yake imekaa Viabaya Nyumba zimejengwa hovyo sana
Hata uwanja wenyewe ukiangalia haupo nadhifu kabisa kama viwanja vya wenzetu..mbeya inapaswa ibadirike ,uwanja mchafu na unajiotea manyasi hovyo hovyo halafu hawajali wala nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…