Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
MBEYA Umeme haupo Kila Siku unakatika Serikali Acheni mizaha. Hii Ni aibu Sana Kwa Serikali,, mnapiga porojo tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama nchi hii kuna sehemu kuna mgao mkali wa umeme kama Mbeya! Sijui wameikosea nini Tanesco/SerikaliMBEYA Umeme haupo Kila Siku unakatika Serikali Acheni mizaha. Hii Ni aibu Sana Kwa Serikali,, mnapiga porojo tuu.
Utafanya nini? Maandamano ya Amani?A failed rogue state. Na mambo yanaenda tu utadhani hamna tatizo.