CEO wangu wa Tanroads pls tembelea Zambia na uone wenzetu walivyojenga hizi pass, hasa ile inayoelekea na mpaka wa zambia na Zimbabwe (few km before chilundu border),then rural hadi cape Town SA,angalia lile jimbo la western cape walivyojenga zile pass, maana wanazo nyingi mno definitely ukirudi hapa nchini utakuja na mawazo mpya Inyala pass inahitaji science SIO ujinga wa hawa viongozi wa dini