milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Kuna kipindu pindu Mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitano Tena Kwa saa100 na TuliaWaungwana hivi ni viwanja vyote ambavyo vina changamoto ya vyoo au ni Sokoine Stadium tu hapa Mbeya.
Maana huu uwanja vyoo vyake ni changamoto kubwa, ni vichafu balaa na hakuna maji kabisa.
Wamiliki wa uwanja embu jitahidini basi kurekebisha vyoo kama mnavyo pambana kurekebisha sehemu ya kuchezea.
Tumeona Meneja wa Uwanja, Modestus Mwaluka akipata Tuzo za kutosha Kwa kuutunza uwanja lakini ukienda chooni ni balaa tupu.
Ombi kwenu Bodi ya Ligi mnavyokagua viwanja waambieni wamiliki wawapitishe na vyooni mjionee.
Soma Pia: Uwanja wa Sokoine Mbeya hauna msimamizi, mbona mchafu sana?
Muwe mnatujali na sisi watazamaji maana ndiyo wateja wenu,Sasa kama sehemu za kujistili zinakuwa chafu mnatufanya tushindwe kuja viwanjani.
Tunakumbushana tu kuwa Afya ndiyo mtaji muhimu kwa mwanadamu.
Mwaluka, safisha vyoo ili kuepukana na Magonjwa kwa watumiaji wa Uwanja wa Sokoine.
View attachment 3182678View attachment 3182685View attachment 3182687
CCM ndio zao hizo, kuishi na kumiliki mali chafu kwao sio shida....BTW wachafuaji vyoo si hao hao wanaovitumia?Wamiliki wa uwanja ni ccm, nenda sokomatola kwenye ofisi yao

We hyo ni ccm iliyoshindwa kuongoza nchi nzimaDah😂welcome mbeya alafu mnajikutaga wajuaji sana watu wa mbeya vitu vidogo kama vinawashinda