ibrahim Traore
Member
- Aug 11, 2024
- 79
- 172
Sipati picha fikiria hizo bidhaa ziliokotwa na wahuni wa congo(vipodozi) dampo huko.alafu waka fanyia package nakuuza tanzania.nawabongo baada ya kuztupa zkarudi kitaa😂😂😂😂mamaeeh nisumu juu ya sumuu.Juzi kati hapa wamemwaga vipodozi kisha wakaondoka,Sasa ndugu zangu wakavisomba na kuanza kuwauzia raia kitaa