LGE2024 Mbeya: Wasimamizi katika vituo vya kuchukua na kurudisha fomu uchaguzi serikali za mitaa ni kikwazo kwa wagombea wa upinzani

LGE2024 Mbeya: Wasimamizi katika vituo vya kuchukua na kurudisha fomu uchaguzi serikali za mitaa ni kikwazo kwa wagombea wa upinzani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Mtendaji wakitongoji cha Idugumbi kata ya utengule usongwe Jimbo la Mbeya vijijini amekimbia Ofisi nakuzima simu zake zote.

Kumekuwepo na huu mchezo ofisi za vijiji na mitaa kufungwa muda ambao wagombea wanahitaji kuchukua na kurudisha fomu. Hii ni mbinu ambayo inatumika kuweka ugumu kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani kushiriki katika zoezi hili.

Huenda kukawa na malalamiko mengi zaidi mpaka kuelekea mwisho wa zoezi la kuchukua na kurejesha fomu hasa kutoka kwa vyama vya upinzani kutokana na vikwazo wanavyowekewa katika zoezi hili na kulifanya kutokuwa huru na haki.

 
M
Mtendaji wakitongoji cha Idugumbi kata ya utengule usongwe Jimbo la Mbeya vijijini amekimbia Ofisi nakuzima simu zake zote.

Kumekuwepo na huu mchezo ofisi za vijiji na mitaa kufungwa muda ambao wagombea wanahitaji kuchukua na kurudisha fomu. Hii ni mbinu ambayo inatumika kuweka ugumu kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani kushiriki katika zoezi hili.

Huenda kukawa na malalamiko mengi zaidi mpaka kuelekea mwisho wa zoezi la kuchukua na kurejesha fomu hasa kutoka kwa vyama vya upinzani kutokana na vikwazo wanavyowekewa katika zoezi hili na kulifanya kutokuwa huru na haki.

View attachment 3139176
Member!
 
Mtendaji wakitongoji cha Idugumbi kata ya utengule usongwe Jimbo la Mbeya vijijini amekimbia Ofisi nakuzima simu zake zote.

Kumekuwepo na huu mchezo ofisi za vijiji na mitaa kufungwa muda ambao wagombea wanahitaji kuchukua na kurudisha fomu. Hii ni mbinu ambayo inatumika kuweka ugumu kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani kushiriki katika zoezi hili.

Huenda kukawa na malalamiko mengi zaidi mpaka kuelekea mwisho wa zoezi la kuchukua na kurejesha fomu hasa kutoka kwa vyama vya upinzani kutokana na vikwazo wanavyowekewa katika zoezi hili na kulifanya kutokuwa huru na haki.

View attachment 3139176

Poleni ila msipoteze muda zaidi, kwani nyumbani kwake hamkujui? Ikibidi zipeleke mmwachie mke wake au watoto wake ila muombe polisi wawasindikize kwake. Naamini hiyo lugha atailewa vizuri sana.
 
Mtendaji wakitongoji cha Idugumbi kata ya utengule usongwe Jimbo la Mbeya vijijini amekimbia Ofisi nakuzima simu zake zote.

Kumekuwepo na huu mchezo ofisi za vijiji na mitaa kufungwa muda ambao wagombea wanahitaji kuchukua na kurudisha fomu. Hii ni mbinu ambayo inatumika kuweka ugumu kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani kushiriki katika zoezi hili.

Huenda kukawa na malalamiko mengi zaidi mpaka kuelekea mwisho wa zoezi la kuchukua na kurejesha fomu hasa kutoka kwa vyama vya upinzani kutokana na vikwazo wanavyowekewa katika zoezi hili na kulifanya kutokuwa huru na haki.

View attachment 3139176
acheni kulia lia mlitegemea nini hao wasimamizi ni makada wa ccm na bado
 
Mtendaji wakitongoji cha Idugumbi kata ya utengule usongwe Jimbo la Mbeya vijijini amekimbia Ofisi nakuzima simu zake zote.

Kumekuwepo na huu mchezo ofisi za vijiji na mitaa kufungwa muda ambao wagombea wanahitaji kuchukua na kurudisha fomu. Hii ni mbinu ambayo inatumika kuweka ugumu kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani kushiriki katika zoezi hili.

Huenda kukawa na malalamiko mengi zaidi mpaka kuelekea mwisho wa zoezi la kuchukua na kurejesha fomu hasa kutoka kwa vyama vya upinzani kutokana na vikwazo wanavyowekewa katika zoezi hili na kulifanya kutokuwa huru na haki.

View attachment 3139176
Tuliwaonya MBOWE na CHADEMA yake wasusie uchaguzi akabisha, ona sasa kinachoendelea.

Tundu Lissu Ana akili sana, aliyaona haya mapema mno. Tatizo la MBOWE ni uroho wa pesa
 
H
Poleni ila msipoteze muda zaidi, kwani nyumbani kwake hamkujui? Ikibidi zipeleke mmwachie mke wake au watoto wake ila muombe polisi wawasindikize kwake. Naamini hiyo lugha atailewa vizuri sana.
Huyo ni takataka kabisa! Piga kama kibaka! Jiwe yule mwehu aliiharibu sana hii nchi kama ya mamake!
 
Mtendaji wakitongoji cha Idugumbi kata ya utengule usongwe Jimbo la Mbeya vijijini amekimbia Ofisi nakuzima simu zake zote.

Kumekuwepo na huu mchezo ofisi za vijiji na mitaa kufungwa muda ambao wagombea wanahitaji kuchukua na kurudisha fomu. Hii ni mbinu ambayo inatumika kuweka ugumu kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani kushiriki katika zoezi hili.

Huenda kukawa na malalamiko mengi zaidi mpaka kuelekea mwisho wa zoezi la kuchukua na kurejesha fomu hasa kutoka kwa vyama vya upinzani kutokana na vikwazo wanavyowekewa katika zoezi hili na kulifanya kutokuwa huru na haki.

View attachment 3139176
Atakuwa kapewa maelekezo na serikali akimbie
 
Aibu kubwa ya CCM
Hapa siyo CCM moja kwa moja.
Watumishi wa uma wanatakiwa wasioneshe upendeleo au ushabiki wa vyama kwa mujibu wa sheria.
Kwa hiyo, njia rahisi na yenye ufanisi ni kuwashughulikia hao watumishi wapuuzi na wahalifu kibinafsi zaidi.
Nguvu stahiki yaweza kutumiwa pia dhidi yao kwa sababu ni wahalifu na maadui wa uma.
 
Hapa siyo CCM moja kwa moja.
Watumishi wa uma wanatakiwa wasioneshe upendeleo au ushabiki wa vyama kwa mujibu wa sheria.
Kwa hiyo, njia rahisi na yenye ufanisi ni kuwashughulikia hao watumishi wapuuzi na wahalifu kibinafsi zaidi.
Nguvu stahiki yaweza kutumiwa pia dhidi yao kwa sababu ni wahalifu na maadui wa uma.
Ni kukosa akili tu ndiyo kuna tusumbua, Mchengerwa ndiyo msimamizi mkuu wa uchaguzi na ni CCM na anataka wagombea wake washinde na hao watumishi wapo chini ya TAMISEMI, nani anatoa maelekezo kama siyo Mchengerwa? kwanini wasinyimwe basi na wagombea wa CCM kama tatizo ni watumishi?
 
Kosa kubwa kwa upinzani kushiriki hizi chaguzi,tulisema tokea mwanzo kuna mauzauza yatatokea

Ova
 
Waanze kuwashtaki Mahakamani. Aidha, watoe taarifa kwa mabosi wao ( Waziri n.k.). Ingawa wote hao wako upande mmoja, itaweka kumbukumbu ya vitendo hivi.

Amandla...
 
Ni kukosa akili tu ndiyo kuna tusumbua, Mchengerwa ndiyo msimamizi mkuu wa uchaguzi na ni CCM na anataka wagombea wake washinde na hao watumishi wapo chini ya TAMISEMI, nani anatoa maelekezo kama siyo Mchengerwa? kwanini wasinyimwe basi na wagombea wa CCM kama tatizo ni watumishi?
Akili ya kawaida inaelekeza kwamba; ukitaka kumshughulikia mwenye mbwa, dhibiti mbwa kwanza.
Ukibaki ukilalamika huku mbwa anakung'ata utakuwa mjinga.
 
#HABARI: Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kutoka Chanika, Buguruni, Tandika na Ukonga, wamevamia ofisi za CCM, Mkoa wa Dar es Salaam kwa madai ya kutaka uchaguzi urudiwe baada ya kutokea fujo na wizi wa kura katika uchaguzi wa ndani uliofanyika hivi karibuni.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.

#Follow RadioOneStereo
 
Back
Top Bottom