Wachagga acheni kuwabambika jamaa zetu Wakurya Matukio. Wakati wa Korroso anajitwanga Risasi mkaleta inshu ya Wambura wa Sinza oooh naye anatishia watu Bastora.
Leo mmekuta na Mkurya hewa wa Mbezi kuchoma nyumba ili azibe aibu ya NEEMA MUSHI kumchoma Dogo Zungu.
Naona wiki ijayo mtakuja na FWAMBA la CHACHA kumtapeli Waziri wa Ardhi akijifanya Katibu Mwenezi wa CCM. Waaacheni Wakurya wapumue jamani